Okwaaa JF-Expert Member Joined Dec 3, 2020 Posts 1,332 Reaction score 2,963 Mar 4, 2021 #61 Mkuu hii kitu niya 2016, kwani inawezekana miaka mitano yote bado hajapata??? Tatizo hawaletagi mrejesho kama wamepata au la!π Superb2014 said: Mungu akupe haja ya moyo wako mpendwa. Click to expand...
Mkuu hii kitu niya 2016, kwani inawezekana miaka mitano yote bado hajapata??? Tatizo hawaletagi mrejesho kama wamepata au la!π Superb2014 said: Mungu akupe haja ya moyo wako mpendwa. Click to expand...
wingatereza JF-Expert Member Joined Jul 14, 2016 Posts 1,334 Reaction score 1,722 Mar 4, 2021 #62 Eti we mdada smartphone uko hai au bwana ameshatwaa Mbona kimya
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 135,167 Reaction score 160,806 Mar 4, 2021 #63 Kila la kheri...
Nzuguni one JF-Expert Member Joined Dec 23, 2019 Posts 1,157 Reaction score 481 Mar 9, 2021 #64 smartphone said: Mimi ni msichana umri miaka 30, nipo hapa kutafuta partner atakayekuwa tayari kuwa mume wangu. Awe mkarimu, mwenye hofu na Mungu, Mkristo, awe na miaka isiyopungua 30. Mwenye nia ya dhati aniPM. Click to expand... Njoo inbox
smartphone said: Mimi ni msichana umri miaka 30, nipo hapa kutafuta partner atakayekuwa tayari kuwa mume wangu. Awe mkarimu, mwenye hofu na Mungu, Mkristo, awe na miaka isiyopungua 30. Mwenye nia ya dhati aniPM. Click to expand... Njoo inbox
S Superb2014 JF-Expert Member Joined Jul 29, 2017 Posts 9,266 Reaction score 7,426 Mar 10, 2021 #65 Mungu asikie kilio chako na akujibu kwa kadiri ya mapenzi yake.
Nzuguni one JF-Expert Member Joined Dec 23, 2019 Posts 1,157 Reaction score 481 Mar 11, 2021 #66 smartphone said: Mimi ni msichana umri miaka 30, nipo hapa kutafuta partner atakayekuwa tayari kuwa mume wangu. Awe mkarimu, mwenye hofu na Mungu, Mkristo, awe na miaka isiyopungua 30. Mwenye nia ya dhati aniPM. Click to expand... Njoo inbox
smartphone said: Mimi ni msichana umri miaka 30, nipo hapa kutafuta partner atakayekuwa tayari kuwa mume wangu. Awe mkarimu, mwenye hofu na Mungu, Mkristo, awe na miaka isiyopungua 30. Mwenye nia ya dhati aniPM. Click to expand... Njoo inbox