Natafuta mume wa kunioa awe Muislam

Mimi na bibi tuko kwenye pensheni ila tunahitaji msaidizi.

Uko tayari?
 
Mpendwa m/mungu atakujalia kumpata umtakae lkn kwamtazamo wangu ww unatatizo inakupasa ubadilike utafanikiwa
 
Mpendwa m/mungu atakujalia kumpata umtakae lkn kwamtazamo wangu ww unatatizo inakupasa ubadilike utafanikiw(kibur&dharau
 
Ninacho kushaur mpendwa jaribu kubadilika utampata umtakae na mtadumu ktk ndoa niona mm elimu ulionayo imekubadili kitab
 
Mie sifa zote ninazo ila sina dini japo ninatambua uwepo wa Mungu na ninahofu ya Mungu
 
Pm zen futa hii thread
Ina maana wewe umeshamkubalia hivyo asiendelee kupata wengine? Positive woman ukiganda na huyu anaweza kuwa dominat kwako, keep on looking usistick na huyu tu.
 
Aslkm, mimi nimekutumia email lakini haiko ective je sasa nakupa take? Kama bado haujapata nitumie ujumbe kupitia email :topmoneytz@yahoo.com.

Kind regards
Really Muslim
 
Dada tatizo email yako haiko hewani weka email nyingine au nambari ya Simu, wanaokuona wewe ni mjinga achana nao do what you reach
 
 
 
Okey put your number, kila cku uazungumza hivyo email address yako haifanyi kazi so what to do?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…