Natafuta mume wa kunioa

Dada sisi wanaume tukikukuta na mtoto huwa tunaanza kujiluza swali la kwanza na kuu

"IKAWAJE MWANAUME MWENZANGU ALIYEZAA NA HUYU DADA YAKAMSHINDA AKAAMUA KUMKIMBIA NA KUMUACHA YEYE NA DAMU YAKE (MTOTO)"

Jibu huwa linakuja huyu ni pasua kichwa na mfupa uloshinda fisi, basi tuna mega tunakaa prmbeni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama umetaja sifa zotee hizii ina maanisha na wewe unazo.

Sasa ilikuaje ukawa na sifa zote hizi na baba mtoto akasepa?
Hivi na yuko wapi?

#YNWA
Wengi huwa wabinafsi, Kama hapo anaposema uwapende ndugu zake Hilo tayari ni tatizo,
 
Nitumie namba yako plz
 
Nakuombea sana.. Simama thabiti na hitaji lako wasamehe wapuuze watakoakubeza
 
Hapo zamani kidogo nilishawahi kuzama PM.

Mungu akubariki katika hitaji lako.
 
Mbona kimya nitumie namba yako pm
 
Mungu akujaaali huna mashart mazito
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…