Lucky Star
JF-Expert Member
- Jul 16, 2017
- 1,874
- 3,215
hahahhahahahah mzee wa PGOMungu akajibu haja ya moyo wako, akakupe yule akufaaye kwenye dhiki na raha.
Akawe faraja kwako, akakupende , akuheshimu na kukuthamini.
Ila kiukweli, sisi wanywaji tuna upendo Sana, hebu badilisha kidogo hiyo PGO yako
ukiambiwa hatunaye ndo utafurahi? au tena utataka kujua aliumwa nn?Baba wa mtoto yupo wapi?
Kweli hapo kuwapenda ndugu kuna shida. Unaweza kuhamishiwa ukoo mzima kwako, ama ukabebeshwa mzigo wa ukooWengi huwa wabinafsi, Kama hapo anaposema uwapende ndugu zake Hilo tayari ni tatizo,
N kweli wanywaji na wavuta sigara wanacare hatari, ex wangu alikuwa balaa ila ndo hvyo. Teh teh ngoja alengeze vigezoMungu akajibu haja ya moyo wako, akakupe yule akufaaye kwenye dhiki na raha.
Akawe faraja kwako, akakupende , akuheshimu na kukuthamini.
Ila kiukweli, sisi wanywaji tuna upendo Sana, hebu badilisha kidogo hiyo PGO yako
Ndilumbaukiambiwa hatunaye ndo utafurahi? au tena utataka kujua aliumwa nn?
Wakulungwa hamuishi Maswali!!!!
KANISANI AU MSKITINI HAZIPITI HTA SKU TATU UNAPATA MUME..Mimi nina umri miaka 28 Nina elimu ya chuo kikuu pia nafanya kazi katik kampuni Fulani Dar Nina mtoto Mmoja kiukweli nahitaji mume wa kunioa naumia sana kuishi maisha ya usingle, nipo serious na maisha kwasababu nimepitia vingi na kujifunza mengi. Nahitaji mtu pia aliye serious katik kutafuta maisha na kujenga familia iliyo bora.
Sifa
Asiwe mlevi Wala mvuta sigara
Wenye hofu ya Mungu
Wenye upendo heshima na apende ndugu zake na wangu
Mpambanaji mpenda maendeleo na ushirikiano
Akiwa na mtoto au watoto sawa Mimi ni mama napenda watoto, watoto ni Baraka.
Wenye kusamehe muelewa pia
Nikimpata naahidi kumpenda na kumuheshimu kiufupi ata enjoy tutajenga familia iliyobora
wilumba kiki Segito?Ndilumba
Hayajui wengine ni chambo ili anaswe kama samaki [emoji28]Mtakuja kupotezwa kizembe kwa tamaa zenu. Mbona mnawaamini watu kirahisi?
Mbona haujanicheki na nimekupa nambaMimi nina umri miaka 28 Nina elimu ya chuo kikuu pia nafanya kazi katik kampuni Fulani Dar Nina mtoto Mmoja kiukweli nahitaji mume wa kunioa naumia sana kuishi maisha ya usingle, nipo serious na maisha kwasababu nimepitia vingi na kujifunza mengi. Nahitaji mtu pia aliye serious katik kutafuta maisha na kujenga familia iliyo bora.
Sifa
Asiwe mlevi Wala mvuta sigara
Wenye hofu ya Mungu
Wenye upendo heshima na apende ndugu zake na wangu
Mpambanaji mpenda maendeleo na ushirikiano
Akiwa na mtoto au watoto sawa Mimi ni mama napenda watoto, watoto ni Baraka.
Wenye kusamehe muelewa pia
Nikimpata naahidi kumpenda na kumuheshimu kiufupi ata enjoy tutajenga familia iliyobora
😘kiufupi ata enjoy.
Nipo hapa nakusubiri future wifeMimi nina umri miaka 28 Nina elimu ya chuo kikuu pia nafanya kazi katik kampuni Fulani Dar Nina mtoto Mmoja kiukweli nahitaji mume wa kunioa naumia sana kuishi maisha ya usingle, nipo serious na maisha kwasababu nimepitia vingi na kujifunza mengi. Nahitaji mtu pia aliye serious katik kutafuta maisha na kujenga familia iliyo bora.
Sifa
Asiwe mlevi Wala mvuta sigara
Wenye hofu ya Mungu
Wenye upendo heshima na apende ndugu zake na wangu
Mpambanaji mpenda maendeleo na ushirikiano
Akiwa na mtoto au watoto sawa Mimi ni mama napenda watoto, watoto ni Baraka.
Wenye kusamehe muelewa pia
Nikimpata naahidi kumpenda na kumuheshimu kiufupi ata enjoy tutajenga familia iliyobora
Umesha mgugo!!Huweleweki Mbona 2020 ulikua na miaka 26.
2021 unamiaka 28View attachment 1949464
Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
Hapa unasema Wewe sio mwanamke
[emoji116]
View attachment 1949466