Yamkini umeeleweka km watafuta mume na wataka kuolewa.swali la msingi ni je unaoleka?
Pole sina access ya hilo Jukwaa hivyo humu nawajibu wale wasio na access pia ya huko... ila kumbuka kuwa humu wapo wengi sana thread yeyote ikija inawekewa udini basi mwishowe itafungwa tu baada ya Uislam kuishiwa Hoja...
Hiyo unayosema Saizi yako rekebisha kidogo jikusanyeni Waislam wa kutosha mimi ni Kiboko... tu
Unaleta udini ktk maisha we ungeishia tu unatafuta mume itikadi ya nini? utawakosa hata walio tayari kuoa.Naitwa Saida Issa ni mkazi wa dar es salaam nina umri wa miaka32 nahitaji mume wa kunioa awe muislam kwa yeyote atakayekua tayari awasiliane na mimi kwa nambari 0653708874
kuna jamaa yangu mmoja alishawahi kunambia, mwanamke wa kiislam ukinunua gunia la mchele ukaweka store, ukatengeneza sebule iwe nzuri, tv nzuri na king'amuzi safi na dvd player, nunua mikanda ya bongo muvie na taarab weka hapo, hata ukikutana naye leo kesho ukamwambia unamuoa na ameviona hivyo vitu, hawezi kukataa. hawanaga shida. kazi yake yeye ukirudi nyumbani toka kazini utamkuta amepicha chakura safiiii, ameoga chumba kinanukia marashi, amevaa kanga ya india hapo kazi ni moja tu. hana mawazo ya kujitegemea ili achangie kipato na ukishindwa matumizi hana shida kuachwa ili akaolewe kwa mwarabu mwenye navyo.tehe tehe tehe tehe tehe wenye neno ni kina nani?
kuna jamaa yangu mmoja alishawahi kunambia, mwanamke wa kiislam ukinunua gunia la mchele ukaweka store, ukatengeneza sebule iwe nzuri, tv nzuri na king'amuzi safi na dvd player, nunua mikanda ya bongo muvie na taarab weka hapo, hata ukikutana naye leo kesho ukamwambia unamuoa na ameviona hivyo vitu, hawezi kukataa. hawanaga shida. kazi yake yeye ukirudi nyumbani toka kazini utamkuta amepicha chakura safiiii, ameoga chumba kinanukia marashi, amevaa kanga ya india hapo kazi ni moja tu. hana mawazo ya kujitegemea ili achangie kipato na ukishindwa matumizi hana shida kuachwa ili akaolewe kwa mwarabu mwenye navyo.
Nicheki 0782505565Naitwa Saida Issa ni mkazi wa dar es salaam nina umri wa miaka32 nahitaji mume wa kunioa awe muislam kwa yeyote atakayekua tayari awasiliane na mimi kwa nambari 0653708874
Mimi sio mwislam ila wanawake wa kiislam na waislam kwa ujumla nawapenda sana huyu dada anaamini sana katika dini, na ndo maana hajaweka criteria nyingi. Mengine watatafuta na mumewe, yeye anachihitaji ni mume tu. Kama sifa je access mwenyewe then mtafute. Kitu kingine cha tofauti huyu katoa jina na namba ya simu, inaonyesha yupo serious na sio mwongomwongo. Maana kwa umri wake wa miaka 30 si rahisi kuwa single. Ila kwa huyu hata akiniambia yupo naweza amini yupo sababu kajimaliza kabisa. Wengine utasikia njoo pm then pm mnapangiwa tarehe za kuonana nayeNaitwa Saida Issa ni mkazi wa dar es salaam nina umri wa miaka32 nahitaji mume wa kunioa awe muislam kwa yeyote atakayekua tayari awasiliane na mimi kwa nambari 0653708874
Unawezakuta line kasajiliwa nantu mwingineJina: Saida Issa
Nickname:Karueche
Number ya sim uki trace kwenye Tigo pesa inasoma ;SALMA MEZA
Haya jiingizeni muibiwe,mjini hapa
VizuriNaitwa Saida Issa ni mkazi wa dar es salaam nina umri wa miaka32 nahitaji mume wa kunioa awe muislam kwa yeyote atakayekua tayari awasiliane na mimi kwa nambari 0653708874