Mzigua wa kuchovya
Member
- May 4, 2017
- 57
- 63
Habar zenu
Natafuta mwanaume ambaye anaweza kuwa mume
Sifa zake;
Muislam mwenye hof ya Mungu
Miaka 28-35
Elimu degree(yoyote)au Mweny future na maisha yake(mfanya biashara)au Mkulima,au shughuli yoyote ya halali.
Mwenye utayar wa kuoa
Maji ya kunde au Mweupe kidoogo
Mrefu kiasi
Ukiwa na mtoto sawa pia
Sifa zangu;
Muislam nina hofu ya Mungu
Umri 24
Elimu diploma
Maji ya kunde
Mfupi kiasi asili ya unene
Sina mtoto
Samahan kwa niliye mkwaza Ila mwenye nia na anahc anafaa ani PM tunawasiliana.
Ahsanten.
Ahsante sanaMwenyenzi Mungu akujakie kheri ya moyo wako.
Utampata tu.
LabdaMfupi kiasi na asili ya unene[emoji6] a.k.a kifutu
Hapana kila mtu na malengo yakeDhuu!! Mtt mdogo kabsa bado unatongozwa af unatafta mume social networks
Sasa dada zako wa 36+
C watakunywa kitanz wakiona hili bango
Vipi kama ana mke na anataka mke wa Pili?Habar zenu
Natafuta mwanaume ambaye anaweza kuwa mume
Sifa zake;
Muislam mwenye hof ya Mungu
Miaka 28-35
Elimu degree(yoyote)au Mweny future na maisha yake(mfanya biashara)au Mkulima,au shughuli yoyote ya halali.
Mwenye utayar wa kuoa
Maji ya kunde au Mweupe kidoogo
Mrefu kiasi
Ukiwa na mtoto sawa pia
Sifa zangu;
Muislam nina hofu ya Mungu
Umri 24
Elimu diploma
Maji ya kunde
Mfupi kiasi asili ya unene
Sina mtoto
Samahan kwa niliye mkwaza Ila mwenye nia na anahc anafaa ani PM tunawasiliana.
Ahsanten.
Cha umuhim mke wa kwanza awe muelewa na mwenye diniVipi kama ana mke na anataka mke wa Pili?
Ohh dearCha umuhim mke wa kwanza awe muelewa na mwenye dini
Hapo hakutakuw na utata dini yangu inaruhusu
EehOhh dear
ushanipataHabar zenu
Natafuta mwanaume ambaye anaweza kuwa mume
Sifa zake;
Muislam mwenye hof ya Mungu
Miaka 28-35
Elimu degree(yoyote)au Mweny future na maisha yake(mfanya biashara)au Mkulima,au shughuli yoyote ya halali.
Mwenye utayar wa kuoa
Maji ya kunde au Mweupe kidoogo
Mrefu kiasi
Ukiwa na mtoto sawa pia
Sifa zangu;
Muislam nina hofu ya Mungu
Umri 24
Elimu diploma
Maji ya kunde
Mfupi kiasi asili ya unene
Sina mtoto
Samahan kwa niliye mkwaza Ila mwenye nia na anahc anafaa ani PM tunawasiliana.
Ahsanten.
Mungu atasaidia utapata
Habari zenu,
Natafuta mwanaume ambaye anaweza kuwa mume.
Sifa zake;
Muislam mwenye hofu ya Mungu
Miaka 28-35
Elimu degree (yoyote) au mwenye future na maisha yake(mfanya biashara)au Mkulima,nau shughuli yoyote ya halali.
Mwenye utayari wa kuoa.
Maji ya kunde au Mweupe kidoogo.
Mrefu kiasi.
Ukiwa na mtoto sawa pia.
Sifa zangu;
Muislam nina hofu ya Mungu.
Umri 24.
Elimu diploma.
Maji ya kunde.
Mfupi kiasi asili ya unene.
sina mtoto.
Samahani kwa niliye mkwaza ila mwenye nia na anahisi anafaa ani PM tunawasiliana.
Ahsanteni.
Habari zenu,
Natafuta mwanaume ambaye anaweza kuwa mume.
Sifa zake;
Muislam mwenye hofu ya Mungu
Miaka 28-35
Elimu degree (yoyote) au mwenye future na maisha yake(mfanya biashara)au Mkulima,nau shughuli yoyote ya halali.
Mwenye utayari wa kuoa.
Maji ya kunde au Mweupe kidoogo.
Mrefu kiasi.
Ukiwa na mtoto sawa pia.
Sifa zangu;
Muislam nina hofu ya Mungu.
Umri 24.
Elimu diploma.
Maji ya kunde.
Mfupi kiasi asili ya unene.
sina mtoto.
Samahani kwa niliye mkwaza ila mwenye nia na anahisi anafaa ani PM tunawasiliana.
Ahsanteni.[/QUOTE