Umepata mume au uume?Habari,
Najitokeza kutafuta mwanaume aliye serious,ninahitaji mume.
-Nina miaka 28
-Nina mtoto mmoja
-elimu degree moja(IT)
-muajiriwa
Aliye tayari ani pm.
Ok dada mi nipo serious kbx xo contact me 0742713444
mhhhhh,,, si ana mtoto? atakuwa anaduu na baba wa mtoto!!!ohoooo!!!!Umesahau na hii,
Bado upo kwa wazazi na hakuna kuduu mpaka ndoa.
Mnatafuta namba za member wa jf ili mkawakamate.Jf tunajitambua kweli hamtupati kamwe
Kwl wana mapenzi ya dhati wale no longolongo[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] unataka mwenye mtoto