miminimama
JF-Expert Member
- Aug 2, 2018
- 696
- 1,818
- Thread starter
-
- #341
Wanaume wapo wenye uhitaji wa kuoa Tatizo lenu mnataka wenye Mali na magari
Sent using Jamii Forums mobile app
Safi. 👏Nitakutafuta.
Njoo pm..tuongee kitu.Natafuta mume rejea tangazo la nyuma, najua mtajiuliza mbona sijapata asilimia 99 wanaotaka mawasiliano wanataka ngono hivo naishia kukata mawasiliano, nimekutana na mmoja tu mara moja ila hatujafika muafaka, sijakata tamaa bado natafuta.
sasa kuna mwanaume ambae hapendi kupiga mzigo atakuwa juma lokole labdaNatafuta mume rejea tangazo la nyuma, najua mtajiuliza mbona sijapata asilimia 99 wanaotaka mawasiliano wanataka ngono hivo naishia kukata mawasiliano, nimekutana na mmoja tu mara moja ila hatujafika muafaka, sijakata tamaa bado natafuta.
Bado.
Lets be friendsahsante
Mie nakuhitaji ila utanisamehe kwenye kipengere cha kukulea kama yai maana utajikuta hata majukumu yako hufanyi
mstari wa nne kutoka mwanzo ndio unakutoa kwenye mstari, mtu wa kaliba yako hatakiwi kutaja wasifu wa mtu anayemhitaji kwakuwa ulishakosea hapo mwanzo,saivi unampokea yeyote anayejitokeza tuMimi ni msomaji mzuri wa humu muda mrefu sana,najitokeza kwenu kutafuta mume ambae yuko tayari kwa ndoa na kupima ukimwi.
Wasifu.
Ni mama wa mtoto mmoja.
Naishi Dar es salaam.
Elimu yangu chuo kikuu japo kwa sasa sina ajira.
Umri wangu miaka 30.
Mkristo.
Mwanaume nimtafutae.
Kuanzia miaka 32.
Awe anajitambua na ajue nini maana ya mke na familia na amkubali na kumpenda mwanangu kama mwanae wa kumzaa
Awe tayari kupima ukimwi.
Nahitaji mwanaume aliekuwa serious muda wa kupotezeana sina asiwe na mahusiano yoyote anipende sana na kunilea kama yai maana mie najua kupenda sana na ninajua nini maana ya mwanaume.
Karibuni
mstari wa nne kutoka mwanzo ndio unakutoa kwenye mstari, mtu wa kaliba yako hatakiwi kutaja wasifu wa mtu anayemhitaji kwakuwa ulishakosea hapo mwanzo,saivi unampokea yeyote anayejitokeza tu
Tupe mrejesho mkuu😆😆😆😆Kumbe nilisahau hilo.
Tupe mrejesho mkuu😆😆😆😆
Isipoishia njiani utujuze vilevile😅😅😅Nimepata.
Kama safari ikiishia njiani nitarudi tena humu kama tutafika tegemeeni mualiko.