miminimama
JF-Expert Member
- Aug 2, 2018
- 696
- 1,818
- Thread starter
-
- #361
Isipoishia njiani utujuze vilevile๐ ๐ ๐
unanitafutia wa nini? we kama vipi chukua hiyo screpa....mi nshapata bikira nikaoaBaba wa mtoto wako yuko wapi kwa sasa...??
unanitafutia wa nini? we kama vipi chukua hiyo screpa....mi nshapata bikira nikaoa
Bibie unaonekana una wivu sana..
Ok, basi kama ni hivyo hebu sogea tuyajenge sasaDionize what i meant was usinipige matukio kama Diamond Platnumz nikaondoka mwenyewe.
Hongera broAhsanteni nimepata.
Duh hii kali hata sungura au kuku hawafanyi hivyo .wanaume wa humu wana haraka sana hatufahamiani ila anataka tukionana tufanye mapenzi.
Duh hii kali hata sungura au kuku hawafanyi hivyo .
Sikuona tangazo la kwanza lakini imani yangu kubwa kila kitu kinaanza na friendship, then mna build on mpk level hiyo ya juu kama it's meant to be.
Na ni process...sio kuchat siku 2 ya tatu kukutana. Inaweza tokea lkn ni rare cases.
Sijui kama bado unatafuta, mengine labda tuongee chemba if interested lakini sipo that desperate. Nakuhakikishia respect, jokes na hata kama sera zitapishana bado tunaweza kuwa unachat.. na kubadilishana mbinu za kuwinda...๐
Ila wanawake hapo mnaposema wanataka ngono ndipo mnapo jichanganya,Natafuta mume rejea tangazo la nyuma, najua mtajiuliza mbona sijapata asilimia 99 wanaotaka mawasiliano wanataka ngono hivo naishia kukata mawasiliano, nimekutana na mmoja tu mara moja ila hatujafika muafaka, sijakata tamaa bado natafuta.