Shida na raha
JF-Expert Member
- Aug 8, 2014
- 3,773
- 3,471
Umeshapata mkuu..Ndio
Swali zuli atoejibu kwanzaBaba mtt yupo wapi?!
Alisema yuko Mwanza, kaoa mdada mwingine, ila mtoto huku akikua atarudi kudiskass maendeleo ya mtoto na mama akeSwali zuli atoejibu kwanza
Awaja achana haoAlisema yuko Mwanza, kaoa mdada mwingine, ila mtoto huku akikua atarudi kudiskass maendeleo ya mtoto na mama ake
Kwani watu wakishazalishana huwa wanaachana hapa wanatengana tu hila hile Michezo ya 6×6 wanaendelea nayo kama kawa....!Awaja achana hao
Apo sawa,basi amtafute alie wafungisha ndoaKwani watu wakishazalishana huwa wanaachana hapa wanatengana tu hila hile Michezo ya 6×6 wanaendelea nayo kama kawa....!
Hakuna cha ujanja humu, na ukizungumzia povu naona kama umechelewa sana.... Maana kama ni kusemwa na kuandikwa humu Jf, bilashaka nilisha andikwa sana.We jifanye mjanja siku upate mtu hapa akutolee povu utajuta kuchafua uzi.
Niko hapa nipende kama nilivyo msela usiniache mambo ya cv mwisho utapenda mengine yasiyo na ulazimaMimi ni msomaji mzuri wa humu muda mrefu sana,najitokeza kwenu kutafuta mume ambae yuko tayari kwa ndoa na kupima ukimwi.
Wasifu.
Ni mama wa mtoto mmoja.
Naishi Dar es salaam.
Elimu yangu chuo kikuu japo kwa sasa sina ajira.
Umri wangu miaka 30.
Mkristo.
Mwanaume nimtafutae.
Kuanzia miaka 32.
Awe anajitambua na ajue nini maana ya mke na familia na amkubali na kumpenda mwanangu kama mwanae wa kumzaa
Awe tayari kupima ukimwi.
Nahitaji mwanaume aliekuwa serious muda wa kupotezeana sina asiwe na mahusiano yoyote anipende sana na kunilea kama yai maana mie najua kupenda sana na ninajua nini maana ya mwanaume.
Karibuni
Mimi ni msomaji mzuri wa humu muda mrefu sana,najitokeza kwenu kutafuta mume ambae yuko tayari kwa ndoa na kupima ukimwi.
Wasifu.
Ni mama wa mtoto mmoja.
Naishi Dar es salaam.
Elimu yangu chuo kikuu japo kwa sasa sina ajira.
Umri wangu miaka 30.
Mkristo.
Mwanaume nimtafutae.
Kuanzia miaka 32.
Awe anajitambua na ajue nini maana ya mke na familia na amkubali na kumpenda mwanangu kama mwanae wa kumzaa
Awe tayari kupima ukimwi.
Nahitaji mwanaume aliekuwa serious muda wa kupotezeana sina asiwe na mahusiano yoyote anipende sana na kunilea kama yai maana mie najua kupenda sana na ninajua nini maana ya mwanaume.
Karibuni
Wadau msimshambulie dada wa watu, kwenye familia/ukoo wenu wapo. Tena wengine humu wametelekeza damu zao alafu wanawaponda single mother. Single mother wanajali sana kama hamjui
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Geniushahhaha asiwe na mahusiano yoyote, yaani hata yale mahusiano mema na jirani zake hutaki madame
naona nimekosea kuja humu nlijua nitapata faraja ila nashambuliwa sikupenda wala sikutaka kuwa hivo
naona nimekosea kuja humu nlijua nitapata faraja ila nashambuliwa sikupenda wala sikutaka kuwa hivo
Aliekata utepe alishindwa kukulea kama yai,.. Unataka sisi tunaokutana makombo ndo utufanye mdumange?