Heh...Njoo pm ila hakikisha uwe mzuri wa haja..
Habari wana jamvi, mimi natafuta mume mwenye sifa zifuatazo
Umri kuanzia miaka 31 - 40
Color : Any
Tribe : Any
Education : Degree na kuendelea
Religion : Christian
Kabila : Asiwe mchaga au wa pwani
Kazi : Awe mfanya kazi au amejiajiri
Awe na heshima
Kuhusu mimi
Age : 27
Education: Degree
Color : Chocolate
Kazi : Employed
Vingine tutaulizana..aliyetayari aje PM tuongee...kama unaishi Dodoma itakua added advantage as nategemea kuhamia huko soon
Added qualification ahahahahaahMh dunia imeshika hatamu hata kwenye ndoa Degree Jamani Someni.
Added qualification ahahahahaah
Ok watakuja pm ila me nilikuwa nauliza tu kama ulijifungua salamaHabari wana jamvi, mimi natafuta mume mwenye sifa zifuatazo
Umri kuanzia miaka 31 - 40
Color : Any
Tribe : Any
Education : Degree na kuendelea
Religion : Christian
Kabila : Asiwe mchaga au wa pwani
Kazi : Awe mfanya kazi au amejiajiri
Awe na heshima
Kuhusu mimi
Age : 27
Education: Degree
Color : Chocolate
Kazi : Employed
Vingine tutaulizana..aliyetayari aje PM tuongee...kama unaishi Dodoma itakua added advantage as nategemea kuhamia huko soon
Ohoooo!!!mkuu akija kutolea maelezo hili naomba nitag .Ok watakuja pm ila me nilikuwa nauliza tu kama ulijifungua salamaView attachment 863798
[emoji23][emoji23][emoji23]Ohoooo!!!mkuu akija kutolea maelezo hili naomba nitag .
Hiyo ilikua clinic tuOk watakuja pm ila me nilikuwa nauliza tu kama ulijifungua salamaView attachment 863798
So,ulijifungua salama?Hiyo ilikua clinic tu
Ha ha haaa ndio , salama saliminiSo,ulijifungua salama?
Tatizo kabila tu.Habari wana jamvi, mimi natafuta mume mwenye sifa zifuatazo
Umri kuanzia miaka 31 - 40
Color : Any
Tribe : Any
Education : Degree na kuendelea
Religion : Christian
Kabila : Asiwe mchaga au wa pwani
Kazi : Awe mfanya kazi au amejiajiri
Awe na heshima
Kuhusu mimi
Age : 27
Education: Degree
Color : Chocolate
Kazi : Employed
Vingine tutaulizana..aliyetayari aje PM tuongee...kama unaishi Dodoma itakua added advantage as nategemea kuhamia huko soon
Hayo makabila sio kabisaaaTatizo kabila tu.
Kwann dada unasema hivyo? Anzia hapo kwa wachagaHayo makabila sio kabisaaa