Jabari XVI
JF-Expert Member
- May 31, 2018
- 1,075
- 1,466
[emoji23] [emoji23] [emoji23] acha dharau we msomi wa LifugumaWewe hata kuandika hujui
Ndio ivo[emoji23] [emoji23] [emoji23] acha dharau we msomi wa Lifuguma
Akili yako inawaza ilo tu?Kwa ikizama inauliza Elim
Kuna kazi sio haba hapo zinaoana degree mbili tofauti.[emoji23][emoji23]bila degree huoi, naenda shule na mimi ili nifikie vigezo
Una degree?PM yangu umeiona!!??
NdioKuna kazi sio haba hapo zinaoana degree mbili tofauti.
wapekuzi ktk ubora wenu.....mnamulika soo poaOk watakuja pm ila me nilikuwa nauliza tu kama ulijifungua salamaView attachment 863798
Kumbe unajuaMimi ni mwoaji/muoaji ila hapo kwenye dini hebu regeza/legeza bwana
Kuna matumizi ya lugha rasmi na yasiyo rasmi... nmetumia yasiyo rasmi lakini kwa namna tunavyopendelea kuongea. Mfano 'tamu' ni neno rasmi lakini tunapendelea kusema 'tam'
Mbona PM iko encrypted?Ndio ivo
kiajeMbona PM iko encrypted?
Vigezo nimekidhi na nimepitiliza shemela,Kwani we hujakidhi hvyo vigezo shemela
Imefungwakiaje
Umeuliza?Mbona hujasema kama una mtoto.?
NjooNipo
Nani kafunga? So nafunguaje?Imefungwa