Unajua akili ya mbongo ndio akili huwezi ikuta mahali popote hapa DunianiWabongo sijui tukoje Mtu akisema ukweli tunamkejeli tunamuona Fala ila akidanganya pia mtamtukana Sasa Mlitaka afanyeje? Watu wanahisi HIV kama ndo mwisho wa Maisha wakati hakuna anayejua atasepa lini Unaweza ukafa kwa ajali ila mwenye HIV akazeeka nayo ! Kama upo interested we zama Pm mkayejenge
Sent from my iPhone using JamiiForums
Nicheki inbox Dada,tubadilishane mawazoMm n binti wa miaka 26,ninaishi na vvu na tafuta mume wa hali yangu awe mkristo 29-35 mcha mungu na mwenye hofu ya Mungu.Mm n mrefu,mweupe kias na Nina bachelor.
Sent using Jamii Forums mobile app
Aya maswali kama haya ,kwa kuzingatia usiri wa mtu nakuheshimu maisha yake.
Asantekwanza pole sana... yaani nimeuvaa uhusika. je kama mtu hana umuhitaji? siku hizi huu ugonjwa hautishi kama zamani.
Kuna mtu eti anauliza What happened? Ili iweje sasa? Bora ukae kimya aisee Yani Tanzania adui UJINGA bado anatutesa saana Ndio maana Lowassa alisema Elimu Elimu Elimu Elimu Elimu akasau anaowaambia Wamesha athirika na ujinga
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hahaha sio ant virus ni antretroviral therapy (ART)
Hata aieleweki,inamaana wengi humu wana vvu?Dah hatariii id zenye vvu zimejaa humu jf siku hiziπ€¨ nahisi imeshakua fashion sasa kuwa na vvu....[emoji316][emoji316][emoji316]
Sent using Jamii Forums mobile app
NashukuruSasa hiyo bachela yako itasaidia nni au hiyo vvu yako..watu wanataka chini huko je kuna lipa? Una wowo? Una chura? Kama huna we nenda tu na bachela yako
Nice msgUnajua akili ya mbongo ndio akili huwezi ikuta mahali popote hapa Duniani
Kwa ufupi mbongo ni binadamu wa ovyo asoeleweka na asojua zuri wala baya.
Unajua, Watu km mtoa Mada, Huwa wanaitaji Uungwaji mkono wa kiwango cha juu sana, maana ukiachana tu nahali yake, bado ukiyatizama maisha yake kuelekea upana wake, utagundua ni mtu anayehitaj Upendo .
Sasa wapuuzi wenye akili tope. WanachojuA HIV unaipata sababu ya Ngono tu.
Na huu huu Upuuzi wao, unawasahaulisha kua , "Humuhumu ndani ameshakanyaga mademu kibao na ambao hajui hata afya zao" .
Sasa nini maana?????.
Nkaja gundua, watu wengi wanaojinyonga, au kujidhuru sio kwamba wanapenda, isipokua Amekoswa hata mtu mmoja wakumpa moyo ,nguvu kiasi kwamba anaona Duniani ni amekuja kwa bahat mbaya.
EMBU JARIBUNI KUA SEHEMU YA FAIDA KWA MWANADAMU MWENZAKO.
asanteDunia inaanza kufunguka, itafika muda kuwa na vvu itakuwa si kitendo cha aibu na unyanyapaa utaisha kabisa.
Inaanza na sisi, tuache kauli za dhihaka kwa watu wa namna hii, we never know what the future holds for us.
Kakwambia alizaliwa nao? Mbona umesimamia sana post hii au ni Id yako hii?What if kama alizaliwa nao????.
Matako weee !!!
Moja lazima awe na VVU
Hahaa najua sana mkuu ila nilikuwa na simplify swaliHahaha sio ant virus ni antretroviral therapy (ART)