Wilhelm Johnny
JF-Expert Member
- Jan 13, 2016
- 1,368
- 1,325
Wachagga kwa pamoja tunasemaa aiseeeee
SIFA
AWE MKRISTO DHEHEBU LOLOTE ISIPOKUWA MSABATO NA SOLOAMU
MIAKA 30-35
AWE MCHA MUNGU
ASIWE,MCHAGA
AMBAYE YUKO TAYARI ANI PM
[emoji120]
ivi kweli eeeeh?!!Mmekaririshwa sana na Helen Green White
Nimeshangazwa sanaAisee wachaga toka tupewe shutuma na makonda hii ni ishu nyingine naon kumbe kuna baadhi ya makabila hawan ndoto za kuolewa huku moshi. Sababu hasa ni nini
muache ndio maana anazeekea kwao jinga sanaNimeshangazwa sana
Yeye ni mngoni, unajua Kitimoto ni kama uji na mgonjwa. Sasa wewe msabato uje umletee story za WALAWI 11 cjui nini atakuelewa?Kigezo cha dini kimeniangusha sana na umri pia(japo umri it's just a number), usabato mzigo wa miiba unaonielemia mimi.. ivi sisi wasabato tuna nini lkn? mbona tunatengwa sana![emoji849][emoji849]
Nami huwa najiuliza wasabato tuna niniKigezo cha dini kimeniangusha sana na umri pia(japo umri it's just a number), usabato mzigo wa miiba unaonielemia mimi.. ivi sisi wasabato tuna nini lkn? mbona tunatengwa sana![emoji849][emoji849]
SIFA
AWE MKRISTO DHEHEBU LOLOTE ISIPOKUWA MSABATO NA SOLOAMU
MIAKA 30-35
AWE MCHA MUNGU
ASIWE,MCHAGA
AMBAYE YUKO TAYARI ANI PM
π
Hujaona na dhambi ya ukabila?Ina maana Wasabato na Soloamu sio wacha Mungu.
Mungu anakuona na hii dhambi ya ubaguzi itakutafuna na naomba ikutafune hapa hapa duniani
hii speed ya kutaka waume za watu inakuja kwa kasi sana siku za hivi karibuniMIAKA 30-35
Nimesema ubaguzi, kujitenga kwa ukabila sio ubaguzi? TafakarHujaona na dhambi ya ukabila?
Mpentekoste je?SIFA
AWE MKRISTO DHEHEBU LOLOTE ISIPOKUWA MSABATO NA SOLOAMU
MIAKA 30-35
AWE MCHA MUNGU
ASIWE,MCHAGA
AMBAYE YUKO TAYARI ANI PM
π
Natafuta mtu wa kutafuna aisee nishakupmSIFA
AWE MKRISTO DHEHEBU LOLOTE ISIPOKUWA MSABATO NA SOLOAMU
MIAKA 30-35
AWE MCHA MUNGU
ASIWE,MCHAGA
AMBAYE YUKO TAYARI ANI PM
π