Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,992
- 22,396
Ukiweka uni-tag nije nilete ombi langu mapema ili angalau niwe shortlisted. Usiwe kama zeshchriss.Ngoja na mimi nikivuta ntaleta uzi wangu
Kila la kheri maa
Unaolewaje na ji-sisiemu strokeEeeeh ulikuwa unaomba nini?
Wewe niache nizurure tu, usiniwahi halafu nikiwahiwa uje useme huna bahatiKila rakheri dear, ukipata wengi nipasie wawili watatu
Hili lijamaa li sisiemu likija lipigeni za uso makamanda hahahahaahAmesema hataki wanasisiemu
Hauna matako afu unataka asiekua na katimbani!! Ushakosa mume mapaka apa.
Anayo ya kutosha mkuu! Believe meChura ipo?
Hahaaa, we zurura tu ila utarudi main road(kwangu[emoji3] ) mambo lakini!Wewe niache nizurure tu, usiniwahi halafu nikiwahiwa uje useme huna bahati
[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
Poa tu za siku???Hahaaa, we zurura tu ila utarudi main road(kwangu[emoji3] ) mambo lakini!
Eti??Kwani unataka mke?
Waniuliza mimi tenaEti??
πππππWaniuliza mimi tena
Sasa si ndio moja ya ubusy aliokua nao bimkubwa..[emoji2]Yuko busy? Mbona muda wa kukushawishi ukaishi nae porini anao?
NakaziaUsifanye hivyo,ujue tumetoka mbali
Sio nakutetea hapa kumbe una namba3..Ewaaa,swadakta