Mimi elimu yangu postgraduate diploma, ila Nina kitambi
Vipi utanikubali?
yako
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119] Hivi una nini lakini??Najua bado hajapatikana. Umenikataa bure kisa mimi CCM?????
Huu ndio uzi wa kwanza wa kutafuta mume uliofika one-page yote haya. How lucky I am?? Wamekataliwa wooote nimekubaliwa mimi.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119] Hivi una nini lakini??
Sent using Jamii Forums mobile app
Kati ya wote alisema ananitaka mimi. Bado namfikiria
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]Kati ya wote alisema ananitaka mimi. Bado namfikiria
[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
Picha wasiombe walio comment toka mwanzo wa uzi uje uombe we uzi upo mwisho??? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Islam
Kati ya wote alisema ananitaka mimi. Bado namfikiria
[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
Maelezo bado hayajakamilika:Salaam kwenu,
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, nikiwa na akili timamu kabisa bila kushawishiwa na mtu yeyote, naweka bandiko hili la kutafuta mwanaume ambaye atakuja kuwa mume wangu.
Vigezo:
Awe mchamungu,
Rangi yoyote ila nyeusi itapewa kipaumbele
Asiwe na kitambi
Awe anajitambua kuwa yeye ni mwanaume na autumie vizuri uanaume wake
Elimu yoyote ile [emoji23][emoji23][emoji23]
Sifa za mimi:
Mweusi
Mwembamba
Sina matako makubwa
Elimu ya darasa la saba
Sina mtoto
Umri
Awe na miaka kuanzia 32+
Umri wangu 26
Aliye tayari kuanza maisha mapya aje PM
Ahsanteni sana
ukhty nani sasaPicha wasiombe walio comment toka mwanzo wa uzi uje uombe we uzi upo mwisho??? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Islam
Sent using Jamii Forums mobile app
Maelezo bado hayajakamilika:
Suala la Kipato kipindi hiki ni la msingi Sana ata kwetu sisi wanaume. Fafanua unafanya kazi gani? Tuone Kama kunamtelemko ( Kitonga ), uenda Kuna fursa hapa tuichangamkie.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bahati nzuri mimi sio suger mamy.... Mwanaume asiyetambua majukumu yake simtaki.... Unaweza kwenda sababu hili tangazo hawajawekewa marioo ( Wapenda vitonga).... Happy new yearMaelezo bado hayajakamilika:
Suala la Kipato kipindi hiki ni la msingi Sana ata kwetu sisi wanaume. Fafanua unafanya kazi gani? Tuone Kama kunamtelemko ( Kitonga ), uenda Kuna fursa hapa tuichangamkie.
Sent using Jamii Forums mobile app