Wenzako sikuhz wanagharamia ndoa zao, wanalipa Maali na gharama zote wanasimamia wao, maisha kusaidia ukiwanacho toa usipende kupewa tu ...Bahati nzuri mimi sio suger mamy.... Mwanaume asiyetambua majukumu yake simtaki.... Unaweza kwenda sababu hili tangazo hawajawekewa marioo ( Wapenda vitonga).... Happy new year
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mjomba wangu alikuwa na mahusiana na mwanamke mmoja, Walikuwa wanapendana sana, mapenzi yao walianza toka wakiwa chuo, ikatokea mwanamke akapata Kazi nzuri baada ya kumaliza chuo, mwanamke akawa Yuko Vizuri kipesa, jamaa bado hakuwa na Kazi ya maana kipato chake kidogo. Mwanamke akamuwezesha jamaa, akaanzisha Biashara Kisha wakafunga ndoa Hadi Sasa wanawatoto wawili na maisha yanaendelea. Kwaiyo nowdays Wanawake mnabidi mbadili fikra zenu kwamba nyinyi ni watu wa kupewa tu, mfumo wa maisha umebadilika...Hahahahahah anapenda kuteremka huyu ntaolewa nae, yaani tutakaa ndani halafu Kuna mtu atakuwa ametuoa wote wawili mimi na yeye
Sent using Jamii Forums mobile app
Mfumo umebadilika sio? Mbona hambebi mimba mzae? Siku mkizaa tu tutaamini Mfumo umebadilika otherwise nature na iheshimiweKuna mjomba wangu alikuwa na mahusiana na mwanamke mmoja, Walikuwa wanapendana sana, mapenzi yao walianza toka wakiwa chuo, ikatokea mwanamke akapata Kazi nzuri baada ya kumaliza chuo, mwanamke akawa Yuko Vizuri kipesa, jamaa bado hakuwa na Kazi ya maana kipato chake kidogo. Mwanamke akamuwezesha jamaa, akaanzisha Biashara Kisha wakafunga ndoa Hadi Sasa wanawatoto wawili na maisha yanaendelea. Kwaiyo nowdays Wanawake mnabidi mbadili fikra zenu kwamba nyinyi ni watu wa kupewa tu, mfumo wa maisha umebadilika...
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahhahahahaha hahahaha just hahahahhhahahahhahahahahhahahahahah bahati nzuri tuna vitabu vya dini ambavyo ndio miongozo yetu katika maisha ya hapa duniani, na havijawahi kufanyiwa mabadiliko ya maandiko yako vilevile.... So usinilazimishe kuamini kinacholetwa na matakwa ya mwanadamu .......Wenzako sikuhz wanagharamia ndoa zao, wanalipa Maali na gharama zote wanasimamia wao, maisha kusaidia ukiwanacho toa usipende kupewa tu ...
Sent using Jamii Forums mobile app
Iyo mimba mnajibebesha wenyewe ???Mfumo umebadilika sio? Mbona hambebi mimba mzae? Siku mkizaa tu tutaamini Mfumo umebadilika otherwise nature na iheshimiwe
Sent using Jamii Forums mobile app
Happy NewYear 2020Hahahahhahahahaha hahahaha just hahahahhhahahahhahahahahhahahahahah bahati nzuri tuna vitabu vya dini ambavyo ndio miongozo yetu katika maisha ya hapa duniani, na havijawahi kufanyiwa mabadiliko ya maandiko yako vilevile.... So usinilazimishe kuamini kinacholetwa na matakwa ya mwanadamu .......
Baada ya hayo mimi sihitaji mtu ambae hana imani ya kiroho...... Lingine hili andiko niliweka kwajili ya kufurahisha jukwaa, tu na wala haikuwa na lengo la kutafuta mume,...... Uwe na usiku mwema
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanamke kuzaa bila kuingiliwa na mwanaume inawezekana, rejea Maria mama wa yesu.......
Kwahiyo mimi sikufai ama??
Wenzako sikuhz wanagharamia ndoa zao, wanalipa Maali na gharama zote wanasimamia wao, maisha kusaidia ukiwanacho toa usipende kupewa tu ...
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mjomba wangu alikuwa na mahusiana na mwanamke mmoja, Walikuwa wanapendana sana, mapenzi yao walianza toka wakiwa chuo, ikatokea mwanamke akapata Kazi nzuri baada ya kumaliza chuo, mwanamke akawa Yuko Vizuri kipesa, jamaa bado hakuwa na Kazi ya maana kipato chake kidogo. Mwanamke akamuwezesha jamaa, akaanzisha Biashara Kisha wakafunga ndoa Hadi Sasa wanawatoto wawili na maisha yanaendelea. Kwaiyo nowdays Wanawake mnabidi mbadili fikra zenu kwamba nyinyi ni watu wa kupewa tu, mfumo wa maisha umebadilika...
Sent using Jamii Forums mobile app
Mfumo umebadilika sio? Mbona hambebi mimba mzae? Siku mkizaa tu tutaamini Mfumo umebadilika otherwise nature na iheshimiwe
Sent using Jamii Forums mobile app
Kazi za mabeki3 ( wadada wa Kazi ) izoMkuu kwahiyo na wewe utakuwa unamsaidia mkeo kazi za ndani kama kupika kufua kuosha vyombo na kusafisha nyumba si eti
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante,, mwanaume aliambiwa atakula kwa jasho na mwanamke aliambia atazaa kwa uchungu..
Sent using Jamii Forums mobile app
Mabeki tatu wanajua kukatika mauno nyinyi tukishazoena mnapunguza mahaba ata mambo hamtoi Vizuri tena ...Nyoo kazi za beki tatu mbona wakizifanya mabeki tatu mnatembea nao kwa kisingizio cha kwamba wao ndiyo wanajishugulisha kuliko wake zenu??
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya maneno yamesemwa wapi bibie ?