Mabeki tatu wanajua kukatika mauno nyinyi tukishazoena mnapunguza mahaba ata mambo hamtoi Vizuri tena ...
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwahiyo mimi sikufai ama??
Huyu ni wa kumuacha apumzike labda mwaka huu atakuwa na mawazo ya kiumeHuu mfumo wa maisha mbona haubadiliki na kwenye kazi za ndani eti?? Mbona hadi leo kazi za ndani zinaonekana ni za kike tu??
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Sitaki kuwa watatuSasa bibie kama hujapata mimi nipo hapa,natafuta mke.
Hawa wakishakua kwenye ndoa wanajisahau, wanaona wamemaliza kila kituKwahiyo hiyo ndiyo sababu ya ninyi kutembea na mabeki tatu siyo?? Huwa mnajiuliza kwanini wake zenu wanakuwa hivyo au ndiyo hamna huo muda??
Sent using Jamii Forums mobile app
Eti mwanamke anajilipia mahari, anajioa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa huko ndani nikianza kuleta amri achukie au?? Yaani nijioe mwenyewe halafu nimheshimu juuu... Big no........ Mimi nikijioa, tendo nakupangia, utadeki, utapika, utaosha vyombo, utafua nepi za watoto, utaniandalia Maji ya kuoga "nataka ya moto" yaani ni utafanya kazi mpaka ujute kwanini ulipenda kitonga na kuikataa asili yakoMkuu kwahiyo na wewe utakuwa unamsaidia mkeo kazi za ndani kama kupika kufua kuosha vyombo na kusafisha nyumba si eti
Sent using Jamii Forums mobile app
Sikia nikwambie,niko serious ujue haya mengine tutayaogea private,embu nitext PM mara moja kwanini uhangaike wakati mimi nipo.
Ndoa matunzo bibie hayo mengine utazoea tu. Uzuri ukweli ndio iko hivyo mwanzo huwa ni mgumu,ila baadae unazoea.
Sitaki[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sikia nikwambie,niko serious ujue haya mengine tutayaogea private,embu nitext PM mara moja kwanini uhangaike wakati mimi nipo.
Ni PM,hata kama nisipokuwa mimi kuna faida nataka nikupe.
Huyu ni wa kumuacha apumzike labda mwaka huu atakuwa na mawazo ya kiume
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa wakishakua kwenye ndoa wanajisahau, wanaona wamemaliza kila kitu
Sent using Jamii Forums mobile app
Eti mwanamke anajilipia mahari, anajioa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa huko ndani nikianza kuleta amri achukie au?? Yaani nijioe mwenyewe halafu nimheshimu juuu... Big no........ Mimi nikijioa, tendo nakupangia, utadeki, utapika, utaosha vyombo, utafua nepi za watoto, utaniandalia Maji ya kuoga "nataka ya moto" yaani ni utafanya kazi mpaka ujute kwanini ulipenda kitonga na kuikataa asili yako
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa.
Siyo kama hana vigezo wakati wake bado, yeye anaona anacheleway lakini kwa muda huo wakumfaa hayupo aendelee kusubiriMwanaume akitoa tangazo kama hivi ni sawa, ila mwanamke, daaah huwa inakuwa majanga sana maana kama umeshindwa kupata mwenza huko nje it means hauna vigezo
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]