Natafuta mume

Livanna

Member
Joined
Jan 24, 2020
Posts
6
Reaction score
10
Habari wana JF,

Nikiwa na nia thabiti, ninatangaza kutafuta mume. Mimi ni mwanamke mwenye Umri wa miaka 31.

Upande wangu,

Nina mtoto mmoja>5 yrs
Elimu yangu Diploma
Ni mwajiriwa

Ninahitaji mtu mwenye nia ya dhati na awe na umri 31-38 yrs
Awe na shughuli halali inayomuingizia kipato
Awe na utayari wa kuwa na familia

Kwa mwenye uhitaji karibu PM iko wazi


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo umri mi mwanao tungemlea wote tena kwa dhati ndoto yangu Ni kuwa na mke ambaye kanizidi umri kidogo simaanishi niwe marioo hapana kwa kiasi najiweza na ninaweza kutimiza mahitaji ya nyumbani sitaki hawa kina hamida wasije kuniaibisha badae
 
Ndo maana umebaki peke yako muda wote huu. Mwanamke hachagui ila huchaguliwa. Acha vigezo na masharti uone ka utamaliza mwezi hujaolewa.
Halafu vigezo vya maana hukuweka. Mfano; Dini, Afya, Mkoa, rangi
 
31 - 5 = 26

at 26 up to moment uko na 31

hivi kwa uchimbaji madini wa kampuni kama Barrick

huu mgodi wametuachia madini kweli au tunaenda kukuta makinikia?

Na barrick ninavyoelewa hii kampuni ilivyo na vitendea kazi inafukua haswa.
 
umri umeniangusha,ila hata rafiki si nafaa kyuti?
 
Huwa inafikia mahali mwanamke kama hujaolewa wenzako wote wana waume na nyumba mnazokaa ni kotaz au NH sasa kila ukicheka na mme wa mtu mkewe ana nuna anazani utabeba mme wake ,ni shidaa,nilikutana na dada mmoja ni mwalimu na ana watoto wawili tayali alikuwa anasumbuka sana na kutaka kuolewa.

Aliniambia yani anatamani na yeye awe anafua tu angalau nguo za kiume ana anika kama wenzie ili angalau heshima iwepo ,mana wenzake wote wameolewa na kazi yao ni moja,huruma sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wasikutishe best anayeonekana hafai kwako anafaa kwa mwingine,kuna post ipo yangu laptop001 ipitiye.ila mi mgeni cjuwi kukuchek pm
 
Too much exagration!on my side that's not aplicable!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…