Inategemea sasa mtu anakuja pm anaandika Chura ipoo?? ivi nitakujibuje swali la kipuuz kama hilo. Nakukalia kmya ujione mpuuz.Zamani ndo nilikuwa napaparikia nyuzi za hivi kwa kukimbilia pm!!
Nilipogundua ni uduanzi mnatulea saiz Hata sishtuki.
Mtu unaleta uzi, mtu akija huko pm eidha usijibu au ulete maringo!
Huo si ni UDUANZI
Oh prime age ya kiwa mke...ngoja nije tuyajenge....ila kutest mitambo kamba ya ndoa sii i aruhusiwa?Awe na
miaka 28...36
Mkaz wa Dar
Christian
Urefu asifike fut 6
Mengine tutawasiliana pm.
Mimi nna miaka 28 ni diploma holder.
Nimejiajiri ni mbena wa Iringa. Naishi Dar Mbezi.
Sasa kwani ukijibu chura yupo unapungukiwa niniInategemea sasa mtu anakuja pm anaandika Chura ipoo?? ivi nitakujibuje swali la kipuuz kama hilo. Nakukalia kmya ujione mpuuz.
Iringa hakuna wabena, Iringa ni wahehe labda kama unatokea Njombe.Awe na
miaka 28...36
Mkaz wa Dar
Christian
Urefu asifike fut 6
Mengine tutawasiliana pm.
Mimi nna miaka 28 ni diploma holder.
Nimejiajiri ni mbena wa Iringa. Naishi Dar Mbezi.
Awe na
miaka 28...36
Mkaz wa Dar
Christian
Urefu asifike fut 6
Mengine tutawasiliana pm.
Mimi nna miaka 28 ni diploma holder.
Nimejiajiri ni mbena wa Iringa. Naishi Dar Mbezi.
Swadaqta.Zamani ndo nilikuwa napaparikia nyuzi za hivi kwa kukimbilia pm!!
Nilipogundua ni uduanzi mnatulea saiz Hata sishtuki.
Mtu unaleta uzi, mtu akija huko pm eidha usijibu au ulete maringo!
Huo si ni UDUANZI
Hata Mimi ni mbena WA Njombe dada, naomba wewe uje kwenye pm yanguAwe na
miaka 28...36
Mkaz wa Dar
Christian
Urefu asifike fut 6
Mengine tutawasiliana pm.
Mimi nna miaka 28 ni diploma holder.
Nimejiajiri ni mbena wa Iringa. Naishi Dar Mbezi.
Mi sitaki kuja PM.Inategemea sasa mtu anakuja pm anaandika Chura ipoo?? ivi nitakujibuje swali la kipuuz kama hilo. Nakukalia kmya ujione mpuuz.
Utaoa? Kauli mbiu yako unaisalitiMi sitaki kuja PM.
Tumalize hapahapa kweli wall..
CHURA IPOO?
#YNWA
Kwani si unajihu tu NDIYO au HAPANA..!!Inategemea sasa mtu anakuja pm anaandika Chura ipoo?? ivi nitakujibuje swali la kipuuz kama hilo. Nakukalia kmya ujione mpuuz.
Awe na
miaka 28...36
Mkaz wa Dar
Christian
Urefu asifike fut 6
Mengine tutawasiliana pm.
Mimi nna miaka 28 ni diploma holder.
Nimejiajiri ni mbena wa Iringa. Naishi Dar Mbezi.