n-propanol
JF-Expert Member
- Apr 7, 2019
- 5,349
- 7,000
π¬πππ Majibu yako yanaonyesha ubabe wa wabena. Upate hitaji la moyo wako.Inategemea sasa mtu anakuja pm anaandika Chura ipoo?? ivi nitakujibuje swali la kipuuz kama hilo. Nakukalia kmya ujione mpuuz.
DUh! Kwa hiyo Iringa wanaishi Wahehe tu!Iringa hakuna wabena, Iringa ni wahehe labda kama unatokea Njombe.
Wenyeji wahehe, ukiona tofauti na mhehe amehamia kutoka mkoa mwingine.!DUh! Kwa hiyo Iringa wanaishi Wahehe tu!
Hence y u at this point in ur lifeπ€£π€£π€£π€£π€£si.deal na boys
Okechukwuuu wa njombe anazinguaaaHence y u at this point in ur lifeπ€£π€£π€£π€£π€£
Anasema she dont deal with boys hao men anadeal nao hawajamuoa mbona...alafu anasahau kitu...boys will always be boys.Okechukwuuu wa njombe anazinguaaa
Huyu anaishi Mbezi anamaanisha Iringa ndio asili yakeDUh! Kwa hiyo Iringa wanaishi Wahehe tu!
Hao serious ashindwe kuwapata huko duniani ambapo wanamuona aje kuwapata hapa cyberspace kweliMwaya wenye maswali ya kipuuzi wala usiwajibu, hawa wote wanaojilalamisha humu ndo wale wale, mtu alie serious atakuja akiwa serious wala hana muda wa kuanza kupayuka hapa kwenye public wala kuuliza upuuzi huko pm. Kila la kheri
Si anataka umwambie ipo ili anyegege zaidi!!Inategemea sasa mtu anakuja pm anaandika Chura ipoo?? ivi nitakujibuje swali la kipuuz kama hilo. Nakukalia kmya ujione mpuuz.
That's obviously wengi wanaotafuta wenza mitandaoni wanatatizo la akili kidogo, maana just imagine hawayaamini macho yao live,mi natongoza kitu ninacho kiona live na siyo kwa mtandao,na Kama kweli wapo basi watakua wachache sana!!Swadaqta.
Upo sahihi niliwahi kutana nayo pia kiufupi hawako serous mtu anatafuta mume ukimfata hakuamini tena asa unajiuliza huyu ni mzima kweli au ana tatizo la akili.
Mpopoo huyo!! Yahoo boy aka Hashi papii!!Halafu jina lako ni Okechukwu?
Majibu yake yanaonyesha uzowefu wake katika Uwindaji wake!!![emoji51][emoji3][emoji16][emoji849] Majibu yako yanaonyesha ubabe wa wabena. Upate hitaji la moyo wako.