Nzuri sana hiiπ€£π€£π€£"TIINYA AGATINYA AB'ANDI"
"Ogopa wanachokiogopa na wengine"
Yaani wa kwanza akianza upupu wengine nao wanafuata na upupu kama nyumbu!Vijana wa JF mmekua wa hovyo sana, Dada nakuombea Mungu ajibu haja ya moyo wako
Natafuta mwanaume serious ambae atakuja Kua mume wangu WA ndoa awe na umr kuanzia miaka 33 nakuendelea..awe mkristo dheebu lolote .umri wangu NI miaka 33 mjasiriamali na Nina mtoto mmoja...km upo serious njoo pm mengine tutaelezana uko
Nitumie namba zako pm.Natafuta mwanaume serious ambae atakuja Kua mume wangu WA ndoa awe na umr kuanzia miaka 33 nakuendelea..awe mkristo dheebu lolote .umri wangu NI miaka 33 mjasiriamali na Nina mtoto mmoja...km upo serious njoo pm mengine tutaelezana uko
Vipi 32 anafikiriwa ππNatafuta mwanaume serious ambae atakuja Kua mume wangu WA ndoa awe na umr kuanzia miaka 33 nakuendelea..awe mkristo dheebu lolote .umri wangu NI miaka 33 mjasiriamali na Nina mtoto mmoja...km upo serious njoo pm mengine tutaelezana uko