KusiniKuchele
Member
- Oct 26, 2015
- 78
- 120
Nakuja mke wangu tukayajenge ☺️☺️☺️❤️❤️❤️😍😍😍Habari wana JF?
Natafuta mume awe na sifa:
-Mcha Mungu Mkristo(Mkatoliki)
-Umri 35-45
-Amejiajiri/Kuajiriwa
-Elimu angalau degree moja na kuendelea
-Muelewa awe na moyo wa upendo na huruma na mwenye kujua maana ya familia
Kuhusu mimi
-Umri 31years,
-Kabila Mwiraqw(Manyara)
-Nina degree moja
-Nimejiajiri
-Nina mtoto mmoja(baba yake ni marehemu)
pm for a serious man only
Nani ambae anawafundisha hivi kwamba mapenzi yapo kwa wenye degree na master's tu ? Haya kila lakheri utampata jiandae kua single mother mtarajiwa,-Elimu angalau degree moja na kuendelea
Dahan unaniachia Mimi au sio ? Haya nenda mkayajengeNakuja mke wangu tukayajenge ☺️☺️☺️❤️❤️❤️😍😍😍
Weeee namna gan kwani ?Kijana tuheshimiane,
Ni sifa zake mkuu kama wewe hujasoma kinachokuuma yeye kujitangaza ana degree ni nini. Kuna watu wanapenda mwanamke aliyesoma wewe unapenda mwanamke asiyeenda shule kila mtu ana choices zake hivo waache w anaomatch naye wataongea naye wee pita kuleeeeeeeNani ambae anawafundisha hivi kwamba mapenzi yapo kwa wenye degree na master's tu ? Haya kila lakheri utampata jiandae kua single mother mtarajiwa,
Siwezi kupita kule lazima nimpe somo ili aelewe nini namaanisha, mapenzi sio degree na master's akiishi na hio mentality atakua anapishana na mumewe mpaka anakufa kaburiniwaache w anaomatch naye wataongea naye wee pita kuleeeeeee
ubarikiwe sana updateHabari wana JF?
Natafuta mume awe na sifa:
-Mcha Mungu Mkristo(Mkatoliki)
-Umri 35-45
-Amejiajiri/Kuajiriwa
-Elimu angalau degree moja na kuendelea
-Muelewa awe na moyo wa upendo na huruma na mwenye kujua maana ya familia
Kuhusu mimi
-Umri 31years,
-Kabila Mwiraqw(Manyara)
-Nina degree moja
-Nimejiajiri
-Nina mtoto mmoja(baba yake ni marehemu)
pm for a serious man only
Naked Truth, degree its just piece of paperYes of course Mimi napenda wa hivyo sio hawa wanaotombeka chuoni alafu wakimaliza Chuo wanaanza kulandalanda na kufikiri kwamba mapenzi ni degree na master's ndio maana chuoni wanaotombeka Sana wakihisi kwamba wakimaliza pamoja na huyo Mwanaume alienae hapo chuoni basi ataoana na degree, alafu jamaa wakimaliza tu Chuo anampiga kibuti hapo kashamtomba sana zaidi ya miaka mitatu jamàa anamtomba tu maana wanaishi km mke na mume anamfanya anavyotaka anamuingia anapopataka na binti hakatai Wala hagomi kisa anafikiri ataolewa na degree (sio mwenye degree) anataka aolewe na degree au master's (wadhifa au wasifu) sifa sifa za kujisifu mume wangu ana master's mume wangu ana degree, ushaelewa nini anataka (kitu) sio (mtu) Cha kujionyesha na kujiproud kwa watu, kumbe masikini ya Mungu amempangia mume wake ni mchoma mkaa hapo Dumila hana degree na shule aliishia la 6, mapenzi sio degree au master's utapishana na mumeo mpaka unaingia kaburini
Hivo ni vigezo vyangu mkuu.Nani ambae anawafundisha hivi kwamba mapenzi yapo kwa wenye degree na master's tu ? Haya kila lakheri utampata jiandae kua single mother mtarajiwa,
You seems to be a very toxic person hysee..Nimeuliza ni wapi peandikwa mapenzi huanza na degree yaan kashatombeka Sana chuoni huko kawa mke wa mtu zaidi ya miaka mitatu jamàa anajitombea tu alafu wanamaliza Chuo kila mmoja anasepa kivyake baada ya miezi kadhaa anaingia Jf eti anatafuta mume mwenye degree,
Wewe nawe umeniuliza swali ukihisi sijasoma wewe ni kiazi mviringo kabisa km huyo ni dada yako mwambie akaolewe na Yule bwanawake aliekua akimtomba chuoni na wakawa wanaishi pamoja km mume na mke,