Natafuta mume

Time will humble you. Part 2 utakayoileta itakuwa na kigezo kimoja tu cha urijali. All the best anyway
 
Sijaona Mweusi, Mrefu na 6Packs. Hakika wewe wahitaji Mume wa Kukutoumber na kufocus Mapesa. All the best!
 
Hakuna wanaume wa kikristo wanaopenda masharti hayo.
 
Katika hao wanaume UNIONDOE mimi kwa list.
Mimi hata uwe uchi na hata uishuke isimame kama msumari huwa siyumbishwi na uchi ambao sijaupangilia kuuingilia, kanuni zangu huwa hazipindishwi na ushawishi wa ghafla kamwe

Uko sawa Glenn
Nilitakiwa kuandika baadhi ya wanaume
 
[emoji23]
 

Mmh watu wa masters hawana Miandiko hii bhn [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huu ni uvuvi haramu kabisa.
Una miaka 26 na exposure ya elimu kubwa sijui unafanya kazi shirika la umoja wa mataifa how come unakosa hata mchumba mwenye malengo mpaka uje kutafuta mume mitandaoni.

Bora umenisaidia [emoji23][emoji23][emoji23]kuna watu wanatudanganya humu
 
Bikra bado ipo?
 
Huu ni uvuvi haramu kabisa.
Una miaka 26 na exposure ya elimu kubwa sijui unafanya kazi shirika la umoja wa mataifa how come unakosa hata mchumba mwenye malengo mpaka uje kutafuta mume mitandaoni.
Kwa kweli hapa kuna walakini. Inaonyesha huyu ni mtumba grade ya chini kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…