Natafuta mume

Milioni MIA na degree zenu hizo, hiyo Mia ina thamani hata degree zikae kumi kwa pamoja
 
Sema kuna watu wana madharau sana!
Hapo mahali yake ya kumuoa mnahc itakuwa shngap???
Halaf mwanamke mwenyewe kasoma lakn ndo hvyo!!! Hamna kitu!
Kwa akili ya haraka haraka hapo anatafuta pesa na sio mme!!!
Akili kumkichwa utaelewa nin namanisha 🧏🧏🧏🧏🧏
 
Wasabato........! Ila uko sahihi, siyo unaolewa na jamaa ametoka tarime anakuletea,story za Walawi 11, kwani wewe ni Mlawi?
 
***** hapa kwa hesabu za kawaidaa tu tumipigwa kuanzia umri Hadi sifaa😏😏 hizooo sifa za mwanaume wa Dubai DP world wasubiri waje
 
***** hapa kwa hesabu za kawaidaa tu tumipigwa kuanzia umri Hadi sifaa😏😏 hizooo sifa za mwanaume wa Dubai DP world wasubiri waje
Tafuta hela, punguza makasiriko. Nimempata tayari ninae mhitaji kwa sifa tajwa
 
Real miaka 26 anatafuta mwanaume mtandaoni duuh

Huyo anayetafutwa awe makini na mambo ya kitamaduni, sayansi ya kitamaduni. Magonjwa ya kitamaduni, sio Sawa hii
 
Hiyo avatar ndiyo wewe real?

What do you have to offer to the man? apart from mbususu.

In spouses life, are you 'asset' or 'liability'?

-Kaveli-
 
G
Ganja zimenikosesha shape LA kibantu ila kwa sifa zako izo million 100 tutaipata tu kipenzi hata mbuyu ulianza kma mchicha muhimu akiba tu kipenzi 😙
 
Inabidi umtengeneze mwenyewe mtu kama huyu.yani mtu mwenye mtaji wa milioni 100 mpaka sasa awe bachelor.labda mkewe wa kwanza awe amemtoa kafara
 
Hello
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…