[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaa had machoziii.
Hahah...unajua sisi ni mabingwa wa kutengeneza mapicha picha kichwani...
Yaani mwanamke akishakuambia yupo vizuri kitandani, basi kichwani unakuwa ushamvua vua manguo, unamuona mchuchu yupo juu ya kochi kavaa thong ya pink...
Sema atapewa huo mtaji na sio mummeMungu akakupe hitaji la moyo wako
Wana misimamo na makatazo ya kijinga jingaHivi wa sabato wana kasoro gani mpaka wawe isolated na wa Kristo wengine?
We unaonaje,sio tego hili 🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaa had machoziii.
Kwa ndugu zako hautakuwa unaenda kila siku 😂😂😂😂😂😂
Vile naenda kinyume na vitu vingi vya ndugu zangu wasabato sijui nitaweka wapi sura yangu..!!
Kweli niache kitimoto kabisa..??
Kwa ndugu zako hautakuwa unaenda kila siku 😂😂😂😂😂😂
Vile naenda kinyume na vitu vingi vya ndugu zangu wasabato sijui nitaweka wapi sura yangu..!!
Kweli niache kitimoto kabisa..??
Kwani ile woman on top ndo hii ? [emoji23][emoji23] Hivi mtu mwenye milioni zake nne kwa mwezi ataenda deep throat kweli [emoji23]Si mnapenda woman on top [emoji23]
Huo Ni uhujumu uchumi, wanauza kwa 50k tu broMie nataka mzigo kwa kesho tu nakupa 10M per night,kama upo tayari ni PM
Habari zenu wapenzi. Mimi ni mwanamke wa miaka 26. Ninahitaji mwanaume atakaye kuwa mme wangu
Sifa zangu:
1. Ni mrefu kiasi wa cm 170
2. Nina rangi ya maji ya kunde
3. Nina shape ya kibantu, nimejaaliwa umbo
4. Nina elimu ya chuo kikuu shahada ya uzamili (Masters)
5. Ninafanya kazi ya kuajiriwa katika shirika mojawapo la umoja wa mataifa hapa Tanzania.
6. Ni mkristo mkatoliki
7. Ni mtii na wa kujishusha ninae amini katika u kichwa wa mwanaume kwenye ndoa.
Sifa za mwanaume nimtakaye.
1. Awe mkristo wa dhehebu lolote isipo kua wasabato
2. Awe kwenye maadili mema, asie kunywa pombe Wala sigara
3. Awe aidha na elimu ya chuo kikuu walau bachelor degree, au Kama Hana elimu hiyo, awe na biashara isio pungua mtaji wa milioni Mia moja
4. Awe na kazi yenye kipato kisicho pungua milioni tatu kwa mwezi
5. Awe tayari kupima VVU
6. Awe fundi kitandani (Mimi nipo vizuri eneo Hilo)
7. Awe na umri wa miaka 32 Hadi 40.
Kama una sifa hizo karibu pm. Kama huna waweza kupita kwenye thread zinazo kuhusu.
Ahsanteeh
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Embe dodo embe dodo, limelala mchangani x2
Wa huba na mazoea, uwe wangu wa milele.
Pumbavu mkubwa wewe!
Utafia kifuani Babu weMm ni mstaafu elimu yangu Oxford,pesa sio issue.Bado naweza kupeleka moto kwa kiwango cha 5G ukiwa interesting njoo PM tumalize kazi ikiwezekana Desemba watu wale ubwabwa na kucheza kwaito.
Katika hao wanaume UNIONDOE mimi kwa list.Hapo mnakuwa hamfikirii kitu kingine baada ya kumvua nguo
Na wanawake wanajua huu udhaifu na kuutumia kwa uzuri kabisa katika utapeli
Huyo tumtakie tu maisha mema basi.Kama una hiyo 4m hiyo 3m unaitaka ya nini? Kumbe una hela ya kukidhi mahitaji?
Ganja.....ganja.....ganja...x3U-Seventh Day umenikosesha waifu Matirio. Pia huwa from time to time navuta na Ganja plantae
Huoni mwandiko tu ni wa kitapeli mkuu?acha wivu basiii, nikaonyeshwe ufundi
Duuuuh......Ulimaliza form six na miaka 21, ukasoma bachelor miaka 3, hiyo ni 24 ukasoma masters miaka 2 hiyo ndo 26. Hata ujapumzika unatafuta mme ambae ni fundi kitandani, wewe huo ufindi ulijifunzia wapi?
Mm nyani mzee nimekosa kufia kifuani kwa wanawake tangu nibalehe zaidi ya miaka 38 iliyopita.Utafia kifuani Babu we