Natafuta mume

Natafuta mume kuanzia miaka 40 43 muislamu amejiajiri au muajiriwa mwenye hofu ya mungu

H.I.V anaejali afya yake na anamuonekano mzuri

Ambae anahivyo vigezo aje pm
soulmate410 andika kwa utulivu au ndio hii mvua imekuchanganya usiku huu mpaka umekuja kuandika haraka haraka humu?

Wewe ni HIV+ na unahitaji mwenye hali hiyo?
Hapo umeweka utata ndio maana wadau wanauliza wewe ulimaanisha nini hapo kwa HIV.
 
NIMESOMA HIZO SIFA NIKAGUNDUA HAO NI WANAUME 7
 
Mkuu hebu simama ndyo uandike maana inaonekana umejibanza mahali ukaandika chap
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…