natafuta mume

bidada Mwenyenzi Mungu na akutane na haja ya moyo wako., kazana kuomba..
 
Nitakufaa san bidada kwani sifa zote ninazo! kama bado haujapata nipe nafasi ya kuanza mawasiliano na wewe!! mungu ndo anayejua na usishangae tukawa wote! Niko kati ya 36-43
 
ulikuwa wapi? Mbona age imeenda sana, any way kila la heri!
 
vigezo vingi sana utafikiri kazi ya jeshi bwana?punguza vigezo na kama uliumizwa na wewe
huyu utakaye mpata muumize
 

Kuwa mvumilivu utapata
 

Nami pia natafuta. Tafadhali tuwasiliane kama tu unakidhi vigezo:

 
Nami pia natafuta. Tafadhali tuwasiliane kama tu unakidhi vigezo:

Jamani hii ni advert kwa ajili ya watu kufanya application ya kazi au ni kutafuta mchumba tu! Hii dunia ya Munbgu tunaipeleka wapi,nakushauri ukatafute mchumba kijijini dada yangu ambao hawajawa poluted lakini kama ni hawa wa hapa jijini kazi kweli kweli,uta end kuchanganyikiwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…