Wewe ndo umpm kuonyesha uko serious.
Napendaga sana jinsi unavyoshauri uku ukimshikirisha Mungu kwa kila unachoshauri Mungu akubariki sana kaka angu^^
Ajuaye yote ni Mungu.
Nakuombea Mungu umpate aliye haki yako.
Usikatishwe tamaa na yeyote,maadam una nia uwe na amani.
Akutakiae baraka,
Himidini.
^^
we mbaguzi wa rangi, ati mchumba awe mweupe! We kaburu? Kwenda huko!
No, yeye dem ndo ma pm jamaa kuonyesha yuko serious, yeye si ndo ana shida? Tena na am convince (tongoze) jamaa kwamba yeye ni demu poa, hana mileage kwa saana, na analipa! Ye si ndo kaweka tangazo?Wewe ndo umpm kuonyesha uko serious.
Mchaga...!!!???
Napendaga sana jinsi unavyoshauri uku ukimshikirisha Mungu kwa kila unachoshauri Mungu akubariki sana kaka angu
we mbaguzi wa rangi, ati mchumba awe mweupe! We kaburu? Kwenda huko!