Natafuta mume

hee!! awe mweupe tena?!! arpathed policy imeingia had kwny mapnz, creteria zako hizo na umri probably unaweza usiolewe kabisa in addition to kabila lako.
 
good luck shost.mchumba anatafutwa popote pale,ila hilo swala la weupe tena mmmh
 
mkuu me naona huyo dada bora atafute mzungu coz ndo weupe, labda weupe ndo wana mapnz ya dhat.
 
Hekima yako ni ndogo ndio maana hujaolewa.Binadamu hajiumbi bali anaumbwa.Umri wako ni mkubwa sana inatakiwa umtafute mwanamme wa kuanzia miaka 45.Kwa umri wako najua umekubuhu katika mapenzi na sasa unataka familia tu.
 
^^
Ajuaye yote ni Mungu.
Nakuombea Mungu umpate aliye haki yako.
Usikatishwe tamaa na yeyote,maadam una nia uwe na amani.
Akutakiae baraka,
Himidini.
^^
 
^^
Ajuaye yote ni Mungu.
Nakuombea Mungu umpate aliye haki yako.
Usikatishwe tamaa na yeyote,maadam una nia uwe na amani.
Akutakiae baraka,
Himidini.
^^
Napendaga sana jinsi unavyoshauri uku ukimshikirisha Mungu kwa kila unachoshauri Mungu akubariki sana kaka angu
 
Punguza vigezo dada, kwan hata maandiko hayaongelei vigezo vyako. We weka dhamira yako hapa na uziache dhamira za waliotayari kuoa zijioneshe kwako.
 
mashariti kibao, ss mweupe wa nn na we mwnywe mweupe?
ila mtangulize Mungu maana yy ndo kila kitu
 
Unamaanisha unataka mwanaume MZUNGU kama sijakosea ,maana Watanzania tunatambulishwa kwa rangi nyeusi.
Kwa umri wako wa miaka 32 unaonekana mda umekutupa na una masharti magumu,huoni inazidi kujiwekea vikwazo?
Nakushauri uje na id nyingine ili uje kivingine huku ukizingatia ushauri wa wadau!
 
una bahati sana binti, mchumba anapatikana huku buziba! buziba inapatikana kata ya lwamugasa wilaya ya Geita mkoa Geita.ana sifa zote unazozitaka. uko tayari kuishi buziba?kama ndio basi ndoa iwe soon! ila kupima ngoma kwanza. uko TAYARI?
 
keria...mie ni mrefu wastani, maji ya kunde, MBA holder na muajiriwa pia. Ni mlevi maana monday to sunday ni castle light tu ila nanywea hom muda mwingi. Nilioa miaka 4 ilopita ila naona ndoa ishakufa ni ngumi mtindo mmoja polisi shapelekwa sana na hivi sasa natafuta mchumba na mie. Huwa nikitibuliwa nakunywa nyagi kavu na navuta sigara mwanzo mwisho. Ni mpole ila ukinitibua unakula mbata hadi unakoma na breki ya mwisho inakuwa polisi. Nipm kama nimekuvutia. Oohh sorry ni mkristo ila hata sijui kanisa langu linafananaje kwa ndani...nipm mamaa tuanzishe new relation
 
Last edited by a moderator:
Wewe ndo umpm kuonyesha uko serious.
No, yeye dem ndo ma pm jamaa kuonyesha yuko serious, yeye si ndo ana shida? Tena na am convince (tongoze) jamaa kwamba yeye ni demu poa, hana mileage kwa saana, na analipa! Ye si ndo kaweka tangazo?
 
hiyo la kinywaji cha kulevya ungetoa hiko kigezo,utapata wengi
 
Si jambo baya mtu kutaja vigezo vya mtu anayemtaka, tatizo ni mambo mawili, interval ya umri ( 33-36) na labda uchaga, maana utakuwa ume confine your search kwa kundi dogo la wanaume( wenye huo umri na conceivably wachaga wenzio maana wachaga wanawezana wenyewe, mwenzangu na mimi ukaoe mchaga unataka wandengereko wenzagu wasikanyage kwangu!)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…