Professor X
Member
- May 29, 2020
- 45
- 60
Habari wana jamii Ni matumaini yangu ni wazima wa Afya Kikiwa kimepita kipindi kirefu toka Nilete maombi kwenu.
Niseme tu Asante Kwa waliokuja na kunipa mawazo na kunisahauri ila Nakuja tena mbele yenu kwa unyeyekevu Nikiomba ni mpate muwekezaji ili kuweza kulikamilisha wazo langu Baada ya kupokea USHAURI nimeona ni dili na vitu viwili tu ikiwa ni pamoja na VIDEOGRAPHY na PHOTOGRAPHY kwa kuwa ni vitu vinavyo kwenda pamoja Natanguliza shukurani zangu za dhati kweni na napokea ushauri pia kwa yoyote ASANTENI
0743150860 voda
0710550860 Tigo
Niseme tu Asante Kwa waliokuja na kunipa mawazo na kunisahauri ila Nakuja tena mbele yenu kwa unyeyekevu Nikiomba ni mpate muwekezaji ili kuweza kulikamilisha wazo langu Baada ya kupokea USHAURI nimeona ni dili na vitu viwili tu ikiwa ni pamoja na VIDEOGRAPHY na PHOTOGRAPHY kwa kuwa ni vitu vinavyo kwenda pamoja Natanguliza shukurani zangu za dhati kweni na napokea ushauri pia kwa yoyote ASANTENI
Mawasilianao yangu niMimi ni kijana wa kitanzania Lengo La Kuja hapa ni kuomba msaada wa uwekezaji katika biashara ya VIDEO PRODUCTIN, PHOTOSHOOT and GRAPHICS DESIGN ili aweze kusaidia upatikanaji wa vifaa vitakavyo wezesha kufanya kazi vyenye thamani ya shilingi 6M (Million Sita).
Mtaji wangu utakuwa ni Uaminifu, wazo, Nguvu ma Muda Halafu Boss yeye Atawekeza katika hii project alafu tupange , nikae kama Business partner (tufanye Kazi alafu tuwe tunagawana faida Kulingana na mzunguko wa biashara Katika Asilimia ) Au niwe mwajiliwa wake nikisimamia kila kitu katika kazi alafu ye anilipe mshahara wangu wa kila mwezi
1.Video Light kit
2.CAMERA Canon 60D 1,500,000 na Canon mark 3 5D
3.Boya mic
4.Speed light
5.Strobe
6.Background
7.lens
8.memorycard
9.Stand
10.Compute
11.Reflactor
12.Printer
KUHUSU MIMI
Mimi ni kijana wa kiume nina miaka 23 Elimu yangu ni kidata cho sita (siyo kwamba nilifeli hapana nimeshindwa kwenda chuo kutokana na changamoto za kifedha kuzimudu) Ni mzaliwa wa MBEYA MJINI na ndipo ninapo ishi kwa sasa
UZOEFU WA KAZI
Ni Mjuzi wa maswala ya VIDEOGRAPHY, PHOTOGRAPHY, FILMMAKING, GRAPHICS DESIGN, STORY WRITTER, Nimejifunza aya kwa mda wa miaka mi nne sasa sijaingia darasani ila nimekuwa nikijufunza kutoka kwa watu mbali mbali wenye ujuzi na aya maswala na kwa hapa nilipo nimefika sehemu naweza fanya kitu mwenyewe kwa uzoefu nilio nao
MAWASILIANO YANGU
0743150860 Voda 0688176045 Airtel
Natangulisha shukurani zangu za zati kwenu
0743150860 voda
0710550860 Tigo