Natafuta muwekezaji kwenye Biashara ya Photography, Video Production na Graphics

Natafuta muwekezaji kwenye Biashara ya Photography, Video Production na Graphics

Professor X

Member
Joined
May 29, 2020
Posts
45
Reaction score
60
Habari wana jamii Ni matumaini yangu ni wazima wa Afya Kikiwa kimepita kipindi kirefu toka Nilete maombi kwenu.

Niseme tu Asante Kwa waliokuja na kunipa mawazo na kunisahauri ila Nakuja tena mbele yenu kwa unyeyekevu Nikiomba ni mpate muwekezaji ili kuweza kulikamilisha wazo langu Baada ya kupokea USHAURI nimeona ni dili na vitu viwili tu ikiwa ni pamoja na VIDEOGRAPHY na PHOTOGRAPHY kwa kuwa ni vitu vinavyo kwenda pamoja Natanguliza shukurani zangu za dhati kweni na napokea ushauri pia kwa yoyote ASANTENI
Mimi ni kijana wa kitanzania Lengo La Kuja hapa ni kuomba msaada wa uwekezaji katika biashara ya VIDEO PRODUCTIN, PHOTOSHOOT and GRAPHICS DESIGN ili aweze kusaidia upatikanaji wa vifaa vitakavyo wezesha kufanya kazi vyenye thamani ya shilingi 6M (Million Sita).

Mtaji wangu utakuwa ni Uaminifu, wazo, Nguvu ma Muda Halafu Boss yeye Atawekeza katika hii project alafu tupange , nikae kama Business partner (tufanye Kazi alafu tuwe tunagawana faida Kulingana na mzunguko wa biashara Katika Asilimia ) Au niwe mwajiliwa wake nikisimamia kila kitu katika kazi alafu ye anilipe mshahara wangu wa kila mwezi

1.Video Light kit

2.CAMERA Canon 60D 1,500,000 na Canon mark 3 5D

3.Boya mic

4.Speed light

5.Strobe

6.Background

7.lens

8.memorycard

9.Stand

10.Compute

11.Reflactor

12.Printer

KUHUSU MIMI

Mimi ni kijana wa kiume nina miaka 23 Elimu yangu ni kidata cho sita (siyo kwamba nilifeli hapana nimeshindwa kwenda chuo kutokana na changamoto za kifedha kuzimudu) Ni mzaliwa wa MBEYA MJINI na ndipo ninapo ishi kwa sasa

UZOEFU WA KAZI

Ni Mjuzi wa maswala ya VIDEOGRAPHY, PHOTOGRAPHY, FILMMAKING, GRAPHICS DESIGN, STORY WRITTER, Nimejifunza aya kwa mda wa miaka mi nne sasa sijaingia darasani ila nimekuwa nikijufunza kutoka kwa watu mbali mbali wenye ujuzi na aya maswala na kwa hapa nilipo nimefika sehemu naweza fanya kitu mwenyewe kwa uzoefu nilio nao

MAWASILIANO YANGU

0743150860 Voda 0688176045 Airtel

Natangulisha shukurani zangu za zati kwenu
Mawasilianao yangu ni
0743150860 voda
0710550860 Tigo
 
Game sio rahisi kma unavyozani, mda mwingi kazi za production zinaenda na conection. kwa maan hiyo unaweza kuwa na vifaa vyote ivo na usipate kazi kwa kuwa huna conection.

Nicheck dm maana nina uhaba wa wafanyakazi..
 
Game sio rahisi kma unavyozani, mda mwingi kazi za production zinaenda na conection. kwa maan hiyo unaweza kuwa na vifaa vyote ivo na usipate kazi kwa kuwa huna conection.

Nicheck dm maana nina uhaba wa wafanyakazi..
Nimekucheki mkuu
 
Game sio rahisi kma unavyozani, mda mwingi kazi za production zinaenda na conection. kwa maan hiyo unaweza kuwa na vifaa vyote ivo na usipate kazi kwa kuwa huna conection.

Nicheck dm maana nina uhaba wa wafanyakazi..
Naweza nikaja PM mkubwa? [emoji120]
 
Back
Top Bottom