Nipo Dar es salaam makazi na familia Ila kazi nafanyia mkoa wa Ruvuma wilaya ya songeaNaomba utaje na eneo uliko ili kupanua wigo wa kusaidika kwa wepesi
Nipo Dar es salaam makazi na familia Ila kazi nafanyia mkoa wa Ruvuma wilaya ya sonheaNaomba utaje na eneo uliko ili kupanua wigo wa kusaidika kwa wepesi
1.5 had 1.8MNaomba kuuliza mkuu, chainsaw mpya bei gani?
Hapo sawa kabisa sasaNipo Dar es salaam makazi na familia Ila kazi nafanyia mkoa wa Ruvuma wilaya ya songea
Unatumia zile resaw za diesel?Nipo Dar es salaam makazi na familia Ila kazi nafanyia mkoa wa Ruvuma wilaya ya sonhea
1.5 had 1.8M
Hapana ni petrol yenyewe inatumiaUnatumia zile resaw za diesel?
Nkipata hata moja sawa au mbili sawa piaZina hitajika ngapi?
IkiharibikA hizo gharamaš¤! Na watenda kazi wanakusubiria uwalishe..machine imelogaš¤Watu mtaani Wana njia nyingi kuingiza hela bila presha ila watu bado hatujajua
Weka namba zako. Nnazo Husqavana 4 zinafanya kazi Mafinga ningekupa 2 kama terms zingekuwa nzuri ila vijana wa kitanzania ni wa hovyo sana. They can't be trusted. Wanalewa mafanikio mapema na haraka sana.
Hawana maana kabisa. Don't trust them ever never. Angekuwa trusted wala wasingelia ajira. Ila mpe project asimamie aaagh. UtajutaUmemaliza mkuu, katika kitu kinakatisha tamaa kwa watanzania ni kukosekana kwa uaminifu, Mtu unaogopa kuinvest au kuingia ubiya na mtu kwa kuhofia kutiwa change la macho.
Sema proposal yako in full utakua unalipaje, malazi je, chakula vipi, ikiharibika je, Ni kwa mkataba au utakua unalipa per day. Tatzo mmekua waongo waongo Sana habari laini nyingiiiii lkn kwe field wapigaji. Je upo chama gani maana Kama Ni CCM wezi sanaNkipata hata moja sawa au mbili sawa pia