Unataka ujue kucheza Mabreka? Rege? Kwaito? Bachata? Rock? Merengue? Chakacha? Reaggeton? Charanga? Bolingo? Hip hop? Taarabu? Salsa? Au staili gani hasa.. Hebu kuwa specific. Pia natoa mafunzo free of charge kwa wadada wa rika zote, sibagui..
Mmh kuna siku nlipiga whisky nkajikuta natolewa nje na baunsa
Tanmo, hivi zile za ngwasuma na twanga zinaitwa mabreka ama?
Oyaaa Mwenzenu niko siriaz
Oyaaa Mwenzenu niko siriaz
Piga whisky yako moja tu...utaona jinsi ulivyo mahiri kwenye dancing floor
Mkuu mimi najitolea kukufundisha kwa moyo mmoja ila masharti yake
1. Mazoezi yatafanyika usiku tu,mchana niko kazini
2. Itabidi hyo course ifanyike tukiwa Nake.d ili kuepuka kubanwabanwa na nguo wakati wa kufanya mazoezi
3. Itabidi uje mwenyewe(mkeo/mchumba)abaki nyumbani kuepuka fujo za hapa na pale
4. Unaruhusiwa kulala mpaka asubuhi endapo utakuwa umechoka na mazoezi
5. Pia unashauriwa kubeba 'chochote' kwa usalama wetu.
Iwapo utaridhika piga namba hizi
911/0784800800.