Natafuta mwalimu wa kubadilishana nae

Kalobiz

Member
Joined
Jul 6, 2013
Posts
5
Reaction score
0
mimi ni mwalimu Angelina Simwanza Natafuta mwalimu wa kubadilishana nae,
yeye adje Mtwara wilaya ya Tandahimba Mjini shule ya msingi Amani awe ni mwalimu aliyetoka wilaya ya KAHAMA mkoa wa SHINYANGA namba zangu za simu ni 0769 424 698.

iwapo utakua namfahamu mtu anaetaka kuja mtwara toka KAHAMA basi naomba ujulishe taarifa hii kwa msaada...
 
Idara ipi ss pia mbona sio mahala pake hapa.nenda threat ya walimu mama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…