Natafuta mwalimu wa msingi wa kubadilishana nae kutoka w-tukuyu mbeya

JOSEPH MALULU

Member
Joined
Jan 2, 2014
Posts
77
Reaction score
9
Aje geita wilaya ya chato mimi ni hamie wilaya ya RUNGWE mbeya(mwl.msingi) kama yupo kutoka tukuyu tuwasiane.0769056633
 
kazi kweli kweli yaani huyu mwalimu ndio tunategemea atufundishie wanetu
si janga hili kama ameshindwa tu kutofautisha kati ya rungwe na tukuyu.
 
Naona kaz yako nikuedit ,idiot kwahiyo tukuyu ni hapoulipo njoo nikufundishe jiografia ya tanzania, acha kejeli.
 
Acheni hizo hizi simu zenyewe za kutachitachi munataka kuanza kukosoana mimi niko Liwale vijijini kama uko tayari tubadilishane
 
Manabishana nini? Rungwe ni wilaya, Tukuyu ni halmashauri inayopendekezwa kuwa wilaya hivyo msicbekani bali elimishaneni, mm ni mwenyeji huko penye utata ulizeni.
 
Aje geita wilaya ya chato mimi ni hamie wilaya ya tukuyu mbeya(mwl.msingi) kama yupo kutoka tukuyu tuwasiane.0769056633

nenda tamisem utapata uhamisho.cha msingi andaa wazo maalum litakaloweza kukufanya upewe uhamisho.mawazo yako yawe kama NIPO MBALI NA FAMILIA,MAZINGIRA ULIYOPO HAYAENDANI NA AFYA YAKO,USALAMA WAKO NI MDOGO MAHALI ULIPO, NK.utapata.hakuna wa kukataa kukusaini maana utaratibu wa kazi upo hivi BARUA AMBAYO HAIISHII KWAKO HAUTAKIWI KUKATAA KUSAINI.then kwa hilo mkuu wako hana mamlaka ya kukataa,wala mkurugenzi wako kama tu utakuwa na sababu maalumu.uhamisho mwema!
 
Mkuu umenifanya nicheke sana. Maana na wewe umechomekea juu kwa juu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…