Natafuta mwalimu wa msingi wa kubadilishana nae kutoka w-tukuyu mbeya

JOSEPH MALULU

Member
Joined
Jan 2, 2014
Posts
77
Reaction score
9
Aje geita wilaya ya chato mimi ni hamie wilaya ya RUNGWE mbeya(mwl.msingi) kama yupo kutoka RUNGWE tuwasiane.0769056633
 
unakadem nini tukuyu? Hapo kaa upge chaki mkuu.
 
Hakuna wilaya ya tukuyu ndani ya tanznannania ila kuna wilaya ya rungwe.
 
Niko kuelimisha watu kama wewe tukuyu ni halmashauri, we wa wapi uliza kabla.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…