Covid nineteen
Member
- Apr 28, 2020
- 24
- 46
Habari za humu wanajamii.
Najua huku wapo watu wa aina mbalimbali walioolewa na wale ambao bado na kwa namna moja au nyingine wanahitaji wapate wenza wao kupitia huku au hata kwingineko.
Binafsi natafuta mwanamke aliyetayari kuolewa na kuishi na mume kwa upendo.
Mwenye uhitaji huo kwa mwanamke naomba anichek PM tafadhali.
MWANAMKE AWE..
1.Hajaolewa au hata kama ameolewa anataka kuachika sawa,kuwe na makubaliano ya kuachana kati yao.
2.Asiwe na mtoto au labda awe na mtoto mmoja tu.
3.Awe mzuri,sichagui rangi.
4.Awe ameajiriwa au kujiajiri.
5.Asiwe mpenda ugomvi japo kugombana katika maisha ni kawaida.
6.Elimu yoyote .
7.Umri kuanzia wa serikali hadi 35
SIFA ZANGU.
1.Mpole.
2.Mnyenyekevu kwa mke nitakayempata
3.30 yrs.
4.Elimu ya chuo (sio madrasa)
5.Nimejiajiri japo sina kipato kikubwa hivyo tukiwa wawili tunaweza kuendesha maisha yetu vzr tu.
6. Nina malengo makubwa sana ya maisha.
(atanielewa tukiwa pamoja)
Ahsanteni na Karibuni wenye uhitaji
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Najua huku wapo watu wa aina mbalimbali walioolewa na wale ambao bado na kwa namna moja au nyingine wanahitaji wapate wenza wao kupitia huku au hata kwingineko.
Binafsi natafuta mwanamke aliyetayari kuolewa na kuishi na mume kwa upendo.
Mwenye uhitaji huo kwa mwanamke naomba anichek PM tafadhali.
MWANAMKE AWE..
1.Hajaolewa au hata kama ameolewa anataka kuachika sawa,kuwe na makubaliano ya kuachana kati yao.
2.Asiwe na mtoto au labda awe na mtoto mmoja tu.
3.Awe mzuri,sichagui rangi.
4.Awe ameajiriwa au kujiajiri.
5.Asiwe mpenda ugomvi japo kugombana katika maisha ni kawaida.
6.Elimu yoyote .
7.Umri kuanzia wa serikali hadi 35
SIFA ZANGU.
1.Mpole.
2.Mnyenyekevu kwa mke nitakayempata
3.30 yrs.
4.Elimu ya chuo (sio madrasa)
5.Nimejiajiri japo sina kipato kikubwa hivyo tukiwa wawili tunaweza kuendesha maisha yetu vzr tu.
6. Nina malengo makubwa sana ya maisha.
(atanielewa tukiwa pamoja)
Ahsanteni na Karibuni wenye uhitaji
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app