Hapo red umenifurahisha sana aiseeeMimi ni kijana mwenye umri wa miaka 31. Ni mda sasa natamani kuwa na mtu ila sipati bahati kukutana na mwanamke ambaye ana vigezo nnavyovitaka.
maana kila nikikutana na demu ni vibomu tu kama vya nyuklia.
ninafanya kazi na nimepanga, natamani nipate mdada wa umri kuanzia 26 mpaka hata 40. awe na kazi na ametulia. nimechoka kuwa single.
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 31. Ni mda sasa natamani kuwa na mtu ila sipati bahati kukutana na mwanamke ambaye ana vigezo nnavyovitaka.
maana kila nikikutana na demu ni vibomu tu kama vya nyuklia.
ninafanya kazi na nimepanga, natamani nipate mdada wa umri kuanzia 26 mpaka hata 40. awe na kazi na ametulia. nimechoka kuwa single.
Weka picha Kwanza tukuone, na sisi hatutaki uwe na sura ya kushindia nyumban na mfupi
Kwahiyo we unataka nimwambie hapa, kama namtaka ntamfata huko pm.kama unamtaka si umwambie tu
Mimi nakutaka .ngoja nikuambie mbele ya umati ili uamini kabisa nipo single hahaKwahiyo we unataka nimwambie hapa, kama namtaka ntamfata huko pm.
Njoo PM tutaelewana tuKwahiyo we unataka nimwambie hapa, kama namtaka ntamfata huko pm.
[emoji102] [emoji102]Mimi nakutaka .ngoja nikuambie mbele ya umati ili uamini kabisa nipo single haha
Unamaanisha nini hapo bossWeka picha Kwanza tukuone, na sisi hatutaki uwe na sura ya kushindia nyumban na mfupi
Hata mie, hicho cha kutopigwa vibomu ndio kigezo namba moja. Ishu ni kwamba, kuwe na mutual benefits ndani, sio mmoja anapeleka mwili tu, na mwingine anapeleka mwili na rasilimali nyingine. NopeAisee hujaweka vigezo au kigezo ni kimoja tu asikupige kibomu?
Hata mie, hicho cha kutopigwa vibomu ndio kigezo namba moja. Ishu ni kwamba, kuwe na mutual benefits ndani, sio mmoja anapeleka mwili tu, na mwingine anapeleka mwili na rasilimali nyingine. Nope
Naishi Dodoma, so preferrably ukiwa huku ni vizuri zaidi.taja vigezo nikupm
Naishi Dodoma, so preferrably ukiwa huku ni vizuri zaidi.Aisee hujaweka vigezo au kigezo ni kimoja tu asikupige kibomu?