Natafuta mwanamke ambaye nitafunga nae ndoa

ohanyitz

Member
Joined
Sep 28, 2018
Posts
37
Reaction score
18
Kwa majiana naitwa Elnest tesha, namiaka 33 natafuta mwanamke ambaye atakuwa tayar kufunga ndoa na Mimi .. sifa, awe mcha mungu, dini yoyote, awe na bachelor degree, masters, au PhD ikiwa computer science, information technology itakuwa vizur zaidi.. Binafsi nina bachelor degree ya computer engineering, nafanya kazi serikalini, kiuchumi najiweza.. Kama una vigezo ivyo welcome pm
 
Aisee,naona somo la uandishi limekuwa tatizo nowadays.

Una bachelor degree lakini unaandika kama wa darasa la pili?

Hata jina la baba yako unaanza kuandika kwa herufi ndogo??
 
Aisee,naona somo la uandishi limekuwa tatizo nowadays.

Una bachelor degree lakini unaandika kama wa darasa la pili?

Hata jina la baba yako unaanza kuandika kwa herufi ndogo??
Typing error brother!! Siunajua simu zetu
 
Kuna Dada mjane huku anasaka mume,ukitaka nikuunge nae utasema
 
Yaani kiuchumi unajiweza na unafanya kazi serikalini na hakuna dada aliyejilengesha hata mmoja? Unafanana na nitonye au King Kong III kwa sura?
Hahaha umesome vigezo lakini? Unaweza kuwa unafanya kazi sehemu lakin type unayo hitaji isiwepo!!! Kama ningeamua kuoa yyte nauwezo huo BT vigezo na mashart kuzingatiwa.. alafu nimeamua kutafta jf coz naamin atakuwa mjanja na uwezo kimawazo.., na kuhusu sura ataiona mwenyewe..
 
Jumbe kama hizi nlikua nachukuliaga poa sana. Najiuliza hawa majamaa wanawazaga nini.

Ila nimekuja gundua wengine wako dead serious kuhusu hizi mambo. Wakikwambia yaliyowakuta na watu wao, unamuweka kabisa kwenye maombi atakaekuja dm awe mwema. [emoji119]
 
Yes kaka, nafurahi kwa kulitambua Hilo, and what you say is exactly true.. we know ourself.. BT ucjar hata Kama hatokuwa mwema nitamfanya awe mwema coz Mungu ametupa uwezo mkubwa Sana wa kuishi na wanawake
 
Kila anayetafuta mke anataka masta digrii bachela haya twende kazi atakayetaka wa darasa la saba nipo nimejaa tele ila Nina sura ya babangu mkubwa
Hahaha ndege wanaofanana huruka pamoja
 
Vigezo vigumu Nini, au hakuna wanawake humu? Maana mpaka Sasa hata mmoja wakujipendekeza sijamuona
 
Mimi nakila kitu
Mimi nikatoto kazuri na nina bachelor in love na sasa nasomea masters in love je nitapata nafasi najua kupenda kukulove kukuosha nguo nakupasi ukirudi kutoka kazini nakuosha miguu halafu massage ya mwili utapata naheshima mimi ni mpole na pia napenda kuwa mwaminifu je na chance??☝☝☝☝
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…