mkali kwanza
JF-Expert Member
- Mar 12, 2012
- 1,301
- 1,181
Najitokeza katika safu hii kwa mara ya kwanza kutafuta msichana ambaye baadae tutakuwa familia.Nina miaka 26 nafanya kazi,mweupe,mnene wastani,mrefumwislam na mchapakazi. Msichana ninayemhitaji awe na sifa zifuatazo
1.Mwislam na akiwa mwarabu au hata mwafrika atapewa priority
2Awe na kisomo walau form 4 na kuendelea
3.Awe mpenda maendeleo asitangulize pesa mbele.
4.Awe serious katika relation na awe mkweli katika nafsi yake
5.Awe tayari kukabiliana na changamoto za kimaisha(mapenzi yake yasiwe tu wakati wa raha bali hata shida pia)
6.Awe anajielewa nini anakifanya
Mabinti wa kiislamu ambao mlio serious na suala hili naomba tuwasiliane kwa mawasiliano haya
email:abubakaromarkizango@yahoo.com
Mobile contacts:0767681302/0713681302
Sms zote zitajibiwa na simu zitapokelewa.
1.Mwislam na akiwa mwarabu au hata mwafrika atapewa priority
2Awe na kisomo walau form 4 na kuendelea
3.Awe mpenda maendeleo asitangulize pesa mbele.
4.Awe serious katika relation na awe mkweli katika nafsi yake
5.Awe tayari kukabiliana na changamoto za kimaisha(mapenzi yake yasiwe tu wakati wa raha bali hata shida pia)
6.Awe anajielewa nini anakifanya
Mabinti wa kiislamu ambao mlio serious na suala hili naomba tuwasiliane kwa mawasiliano haya
email:abubakaromarkizango@yahoo.com
Mobile contacts:0767681302/0713681302
Sms zote zitajibiwa na simu zitapokelewa.