Natafuta mwanamke awe mama watoto wangu wa maisha

Natafuta mwanamke awe mama watoto wangu wa maisha

Joined
Apr 10, 2018
Posts
6
Reaction score
0
Mimi ni mwanaume halisi najitokeza kwa mara ya kwanza kumsaka Rabeca na nukuu ukisoma Mwanzo 24:44,mwanzo 24:61-67 na amini kabisa mke bora anatoka kwa bwana.umri wangu ni miaka 34,nina elimu ya chuo kikuu,nimejiajiri pia nipo shirika bnafsi.
Mke nimtakaye umri 26-30,awe anajitambua ,wala hana ubaguzi ,yupo tyr kabisa kuolewa mwaka huu,asiye na mtoto,wala kutumia kilevi,mwenye hofu ya Mungu
Awe tyr kuishi na wazazi pande zote kwake na kwangu.Asiwe mchoyo,elimu yake kuanzia Degree,asiwe bonge, awe mweupe sio wa kudownload.Ambaye yupo tyr ani pm ili tujenge maisha ya baadaye na familia tutakayo ianzisha au anitafute kwa +255689899165.
Atakaye wahi nafasi ipo mwisho ni mwezi huu 31/4/2018 mwezi wa tano nikuanza taratibu za kufahamiana na kufanya taratibu stahiki.

N:B awe tyr kupima HIV/AIDS
 
Naona wameshajitokeza wawili hapo juu kazi kwako
 
Vipi mkuu utawafanyia ka interview kidogo?. ....ili wajue kuna ka mchujo..maana hii ni opportunity....
 
Umri ulionao na maneno unayoongea havisaidii,na degree yako haijakukomboa kifikra...subir embe chini ya mnazi
 
Nukuu mke mwema mtu hupewa na Bwana
Kwa hiyo mwombe Bw Yesu atakupa maana imeandikwa lolote mtakaloomba kwa Nina langu Aminini itakuwa yenu
 
Hello am a man aged 33 year's serious looking for a woman who is serious for marriage and family . A first degree holder and single girl will be given priority, however Christianity is the first choice of me. Contact 0783937621 or pm,.Welcome
 
Hello am a man aged 33 year's serious looking for a woman who is serious for marriage and family . A first degree holder and single girl will be given priority, however Christianity is the first choice of me. Contact 0783937621 or pm,.Welcome
 
The woman are come me man but just lucking you best. ....hii lugha hatari sana
 
Unatafuta mfanyakazi wa kuajiri ama mke? By the way hayo mapenzi yenu mtakuwa mnagegedana kisomi? Wewe una degree ngapi?
 
Hello am a man aged 33 year's serious looking for a woman who is serious for marriage and family . A first degree holder and single girl will be given priority, however Christianity is the first choice of me. Contact 0783937621 or pm,.Welcome
Mkuu ukiandika kiswahili utaekeweka zaidi
 
Hello am a man aged 33 year's serious looking for a woman who is serious for marriage and family . A first degree holder and single girl will be given priority, however Christianity is the first choice of me. Contact 0783937621 or pm,.Welcome
 
Aisee siku izi mitandao imewarahisishia mambo eeehhh mpaka kwenye masuala makubwa km haya ..mtu unajitolea bango tu duuuhh.

Mimi huwa naamini kitu kimoja, Mpaka unatoa bango lakutafuta mke au mume nikwamba huko nje hukuwaona ila amin walioko humu niwauko uko.

Alafu hii kitu ,inawakutanisha sababu tu kila mtu anataka ndoa lkn sio kwamba mnapendana .
 
Inaonekana ni mtu unayependa makuu sana. Wanawake wana akili sana kuliko sisi. Kumpata wa kuoa itakuwa ngumu labda muujiza utokee.

Unaandikaje lugha ambayo huijui?
 
33yrs still single, am 28 kila siku napigiwa kengele ~OA-OA~OA!
 
Yaan weupe umenikosesha ndoa kweli? Dah!

Hivi miss chaga huko wapi? Miss natafuta wewe sio mweupe kweli? Sky wewe mweusi jamani.?
 
Back
Top Bottom