Range rover
Senior Member
- Nov 22, 2016
- 186
- 195
nyie wanawake wa tarime ni wababe hamuendi bila kipigoUmepanga room 1 ila una Range Rover ?, haina shida hata kwenye Gari tutaishi tuu[emoji3] ,kabila limeniponza aisee, kwani tumekukosea nini watu Wa Tarimee[emoji30]
Weka pichaRejea kichwa cha habari hapo juu
Nnahitaji mwanamke atakae kuwa na mapenzi ya dhati, wasifu wangu
>Mrefu wa Wastani
>maji ya kunde
>Nimejiajiri
>Sina nyumba nimepanga room 1
>Nipo DSM
>Elimu ya kawaida
Mwanamke awe mkweli anaejiheshimu awe tayari kunisaidia kwenye biashara zangu.
MUHIMU:MWANAMKE ANATOKEA TARIME, RORYA PITA KULEE[emoji117][emoji117]MBALI ,[emoji116][emoji116]
Karibuni
hapana jamani post imejieleza piteni hivi👉👉halafu wewe pia si umesema unataka mwanaume mweusi mbona hukusema kumbe kwenu ni huko Rorya mi hapana wewe😠Kwahiyo sisi wakurya hatutakiwi sio?
yes fasterMwenye chura atapewa kipaumbele?
Kwahiyo sisi wakurya hatutakiwi sio?
Ushampata barafu wako wa kumoyo
Mi angenifaa tatizo keshasema ye ni mtu wa tarimeUshampata barafu wako wa kumoyo
Bado
Tukipigwa ndyo ishara kwamba tunapendwa mkuu,sitaki mtu asiyenipiga eti[emoji3] ,kuguswa guswa makonzi,mbata Mara kichwa ndyo mahaba yenyeweenyie wanawake wa tarime ni wababe hamuendi bila kipigo
Wale uliowaambia wapite mbali, wanaendelea kupita na wale ambao hujawaambia wapite mbali bado hawaonekani. Vuta subira
Pm ya nani tena?, Range Rover hataki hili kabila letu[emoji30] nakosa mume kisa kabila aiiiiHivi kule bado hujaenda pm?