natafuta mwanamke (dodoma tu)

natafuta mwanamke (dodoma tu)

chelsea fc

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2011
Posts
864
Reaction score
212
mimi ni mwanaume 27yrs,nahitaji mwanamke wa kuwa nae na baadae awe wife awe chini ya miaka yangu,dini yoyote ila mimi nakula kitimoto!sharti apatikane dodoma na awe free kuonana nami!
 
mimi ni mwanaume 27yrs,nahitaji mwanamke wa kuwa nae na baadae awe wife awe chini ya miaka yangu,dini yoyote ila mimi nakula kitimoto!sharti apatikane dodoma na awe free kuonana nami!

nitumie no yako kwenye PM
 
nina mpango wa kuhamia dodoma, na mimi siruhusiwi kula kitimoto, ila huwa nalia chumbani. usijali kuhusu umri nitabadilisha cheti ili niwe chini yako.
 
Andika utaratibu wako toka unaamka asubuhi jumatatu hadi ucku na jumanne hadi jumapili akishaona unavyospend siku zako ataona unamfaa icje ikawa ijumaa jioni unaenda kwenye mkesha wa maombi yeye anaenda mkesha wa kidole juu hamtafika mbali...
 
mkuu kwa dodoma huwezi kosa.ngoja vyuo vifungue kuna chuo cha mipango,st john,cbe,udom huwezi kosa hapo
 
Jidadavue zaidi maana Profile haijajaa, Elimu Kazi. ili nikuunganishie na wanaotafuta wachumba humu JF na ni wakazi wa Dodoma.
 
Dodoma huwa wanapatikana sasa wakati wa bunge. Vuta subira!
 
Mtachelewa kupata mafao nyie,shauri yenu,bora utafute wa above 40yrs
 
nina mpango wa kuhamia dodoma, na mimi siruhusiwi kula kitimoto, ila huwa nalia chumbani. usijali kuhusu umri nitabadilisha cheti ili niwe chini yako.

ndio maana ulijiita kaunga coz unapenda kuunga unga sana mambo,anyway we njoo mi nipo tayari kuwa nawe,coz nina haaaaamuuuu
 
Jidadavue zaidi maana Profile haijajaa, Elimu Kazi. ili nikuunganishie na wanaotafuta wachumba humu JF na ni wakazi wa Dodoma.

we niunganishe tu,nitajidadavua kwenye PM au akisha nipa no.
 
Andika utaratibu wako toka unaamka asubuhi jumatatu hadi ucku na jumanne hadi jumapili akishaona unavyospend siku zako ataona unamfaa icje ikawa ijumaa jioni unaenda kwenye mkesha wa maombi yeye anaenda mkesha wa kidole juu hamtafika mbali...

duuh mbona isue!
 
polee nenda makole au udom kabandike matangazo yako utafanikiwa
 
Back
Top Bottom