chelsea fc
JF-Expert Member
- Nov 10, 2011
- 864
- 212
nina mpango wa kuhamia dodoma, na mimi siruhusiwi kula kitimoto, ila huwa nalia chumbani. usijali kuhusu umri nitabadilisha cheti ili niwe chini yako.
Mtachelewa kupata mafao nyie,shauri yenu,bora utafute wa above 40yrs
Jidadavue zaidi maana Profile haijajaa, Elimu Kazi. ili nikuunganishie na wanaotafuta wachumba humu JF na ni wakazi wa Dodoma.
Andika utaratibu wako toka unaamka asubuhi jumatatu hadi ucku na jumanne hadi jumapili akishaona unavyospend siku zako ataona unamfaa icje ikawa ijumaa jioni unaenda kwenye mkesha wa maombi yeye anaenda mkesha wa kidole juu hamtafika mbali...