Natafuta mwanamke kwa mahusiano

Uncle iddi

Member
Joined
Jun 15, 2019
Posts
6
Reaction score
4
Natafuta mwanamke kwa ajili ya mahusiano ya dhati awe mnene na makalio makubwa. Nipo dar na Namba zangu 0754292989
 
Ngoja waje wenye makalio makubwa. Sisi flat skrin tunasoma coment
 
Yakitikisika moyo unalipuka aiseeh,,

Yoto linatembea huku nyuma mrindimo wa pwani latikisika yaaan,, raha sanaa kuyaangalia japo,,

Mtuvumilie tu [emoji39]
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mkuu Uncle iddi, naamini smoerish alikufuata pm myajenge. Sasa nishajua umemkataa sababu hana chura[emoji23][emoji23][emoji23]








Cc Unforgetable
 
[emoji23][emoji23][emoji23]eti nyumba ni choo
Thubutuuuuu, hawa ndio wanakufa na stress kwenye ndoa, jitu linaoa janamke lina gubu na kiburi cha mwendokasi kisa tu anachura, anakuja kufa na pressure ya kusababishwa na hiyo chura
 
Naomba muangalie hiyo namba whatsapp faster kabla hajabadili dpπŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†,hivi yule ni wewe ama mzee wako. Sa mbona wenye chura ushatukosa mana sio kwa sura ile
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…