Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Niko hapa njoo "nikuwowe" mpuuzi mkubwa wewe!Natafuta mwanamke wa kuwa mpenzi wangu.
Awe wa dini yeyote, umri haujalishi.
Sijali kama atakuwa na mapenzi ya kweli au la.
Kama ni mke wa mtu niko tayari kumuoa iwapo mumewe ataugundua uhusiano wetu.
Aniruhusu niwe na full access na akaunti zake za benki
Niko hapa njoo "nikuwowe" mpuuzi mkubwa wewe!
wabunge wanapenda sana miswaada. Hebu andika muswada wako kisha mpe yule mama wa kibena anayesema 'senkyo vele mache' ili aupitie, auhambue kisha awape na wamama wengine wausome.
Lakini hujasema kuwa watakupate? Atleast unge attach hata ka sanduku ka barua
Umepata nafasi gani nec???
kwaheri!Sijapata SHINGO yoyote
kwaheri!
wabunge wanapenda sana miswaada. Hebu andika muswada wako kisha mpe yule mama wa kibena anayesema 'senkyo vele mache' ili aupitie, auhambue kisha awape na wamama wengine wausome.
Lakini hujasema kuwa watakupate? Atleast unge attach hata ka sanduku ka barua
Unapenda vya bure utakuja kupumuliwa kisogoni
Utapumuliwa na mbunge wa kiumeRaha sana kupumuliwa kisogoni na lijimama libunge la viti maalum au lile la kupigiwa kura kabisaaaa
Wasiliana na maza spika maana bado naye hajapata mwenzi.Ukishindwa wabipu akina Mdoe, Bhanji na wengine wengi waliojazana kule wakiganga njaa.