Natafuta mwanamke Mmakonde aliye Dar

Mallibbotty6

Member
Joined
Jun 17, 2016
Posts
14
Reaction score
12
Mimi ni mwanaume

Kabila mmakonde

Miaka 31

Makazi Dar.

NAHITAJI MWANAMKE:

Kabila Mmakonde

Makazi Dar

Umri miaka 20 hadi 27

Aliye tayari aje PM
 
naona ukabila unarudi kwa kasi sana
 
Jamaa hawanaga hiyana!
Hawajui kukataa kama wale wa Singidani na wale wa Manyara!

Wanamsemo wao wanakwambia “ kunnyima ntu dhambi “
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…