Habari wadau Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 28. Wasifu wangu ni:
Rangi: mweusi.
Afya: sina virusi vya ukimwi.
Kabila: mpare.
Urefu : 140.
Elimu: stashahada ya Elimu.
Dini: mkristo.
Dhehebu: mlutheri.
Kazi: mwalimu.
Sifa za mwanamke ninayemtaka ni
Rangi: maji ya kunde/mweupe.
Dini: mkristo.
Elimu: kidato cha nne na kuendelea.
Kazi: mwajiriwa/mjasiriamali aliyeanza safari ya ujasiriamali.
Kuolewa: ambaye hajawahi kuolewa au kuwa na mtoto.
Nb: awe tayari kuishi na Mimi katika hali yoyote ya maisha, akiniheshimu nitamuheshimu na kumpenda sana, aweze kuwa na vision ya maisha na kuniheshimu. Pia awe tayari kuanza na Mimi safari ya utafutaji pamoja. Njoo pm kama upo interested.
Rangi: mweusi.
Afya: sina virusi vya ukimwi.
Kabila: mpare.
Urefu : 140.
Elimu: stashahada ya Elimu.
Dini: mkristo.
Dhehebu: mlutheri.
Kazi: mwalimu.
Sifa za mwanamke ninayemtaka ni
Rangi: maji ya kunde/mweupe.
Dini: mkristo.
Elimu: kidato cha nne na kuendelea.
Kazi: mwajiriwa/mjasiriamali aliyeanza safari ya ujasiriamali.
Kuolewa: ambaye hajawahi kuolewa au kuwa na mtoto.
Nb: awe tayari kuishi na Mimi katika hali yoyote ya maisha, akiniheshimu nitamuheshimu na kumpenda sana, aweze kuwa na vision ya maisha na kuniheshimu. Pia awe tayari kuanza na Mimi safari ya utafutaji pamoja. Njoo pm kama upo interested.