Mtundu wa Tech
JF-Expert Member
- Aug 19, 2019
- 642
- 609
Waa asalaam.
Mimi ni muislamu, rejea na kichwa cha habari hapo juu.
Nahitaji mwanamke anaweza kuwa na urafiki nami aje PM.
Sichagui kabila wala dini ninachotaka mimi ni kuheshimiana na pale atakapohitaji ukaribu zaidi kama ishu za tendo la ndoa awe tayari kupima HIV bila kuficha.
Nafahamu kuna wanawake wengi hupenda sana ishu hizi ila huwa wanajiuliza watatuanzaje sisi wanaume basi kwa leo nawahitaji mimi.
Umri kuanzia miaka 33 na kuendelea hata kama ana miaka 50 sawa tu ila kujari afya ni muhimu.
Kwa wale wanaoishi jiji la Dar es salaam watapewa kipaumbele zaidi kwa sababu nami ni mkaazi wa Dar
Mimi ni muislamu, rejea na kichwa cha habari hapo juu.
Nahitaji mwanamke anaweza kuwa na urafiki nami aje PM.
Sichagui kabila wala dini ninachotaka mimi ni kuheshimiana na pale atakapohitaji ukaribu zaidi kama ishu za tendo la ndoa awe tayari kupima HIV bila kuficha.
Nafahamu kuna wanawake wengi hupenda sana ishu hizi ila huwa wanajiuliza watatuanzaje sisi wanaume basi kwa leo nawahitaji mimi.
Umri kuanzia miaka 33 na kuendelea hata kama ana miaka 50 sawa tu ila kujari afya ni muhimu.
Kwa wale wanaoishi jiji la Dar es salaam watapewa kipaumbele zaidi kwa sababu nami ni mkaazi wa Dar