Natafuta Mwanamke mwenye miaka 55 hadi 60 ili nimuoe tumalizie maisha ya duniani

Natafuta Mwanamke mwenye miaka 55 hadi 60 ili nimuoe tumalizie maisha ya duniani

mockers

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2013
Posts
12,843
Reaction score
35,442
Wakuu
Maji yameshafika shingoni naona uzee ndio huu ulishaingia, kwahivo natafuta mwanamke mwenye miaka kuanzia 55 hadi 60 nimuoe ilitumalizie uzee wetu, awe na watoto sawa tu, awe alifiwa na mume safi tu mimi nabeba mzigo.

Maisha haya bila mpenzi naona hayaendi kabisa na zaidi napenda ambae sio msomi awe aliishia darasa la 7 tu, na zaidi akiwa hata na genge la kuuza hata mboga mboga ni sawa tu ili mimi niwe nafuata bidhaa maana machimbo yote nayafahamu.
Kama yupo ajitokeze haraka.
 
Bro! Heshima yako kila lakheri
Wakuu
Maji yameshafika shingoni naona uzee ndio huu ulishaingia, kwahivo natafuta mwanamke mwenye miaka kuanzia 55 hadi 60 nimuoe ilitumalizie uzee wetu, awe na watoto sawa tu, awe alifiwa na mume safi tu mimi nabeba mzigo.
Maisha haya bila mpenzi naona hayaendi kabisa na zaidi napenda ambae sio msomi awe aliishia darasa la 7 tu, na zaidi akiwa hata na genge la kuuza hata mboga mboga ni sawa tu ili mimi niwe nafuata bidhaa maana machimbo yote nayafahamu.
Kama yupo ajitokeze haraka.
 
Wakuu
Maji yameshafika shingoni naona uzee ndio huu ulishaingia, kwahivo natafuta mwanamke mwenye miaka kuanzia 55 hadi 60 nimuoe ilitumalizie uzee wetu, awe na watoto sawa tu, awe alifiwa na mume safi tu mimi nabeba mzigo.

Maisha haya bila mpenzi naona hayaendi kabisa na zaidi napenda ambae sio msomi awe aliishia darasa la 7 tu, na zaidi akiwa hata na genge la kuuza hata mboga mboga ni sawa tu ili mimi niwe nafuata bidhaa maana machimbo yote nayafahamu.
Kama yupo ajitokeze haraka.
Mkuu kwa vigezo vyako kwamba awe miaka55 hadi60 halafu awe ameishia darasa la7 halafu hapa humpatiii, labda uende makanisani
 
Wakuu
Maji yameshafika shingoni naona uzee ndio huu ulishaingia, kwahivo natafuta mwanamke mwenye miaka kuanzia 55 hadi 60 nimuoe ilitumalizie uzee wetu, awe na watoto sawa tu, awe alifiwa na mume safi tu mimi nabeba mzigo.

Maisha haya bila mpenzi naona hayaendi kabisa na zaidi napenda ambae sio msomi awe aliishia darasa la 7 tu, na zaidi akiwa hata na genge la kuuza hata mboga mboga ni sawa tu ili mimi niwe nafuata bidhaa maana machimbo yote nayafahamu.
Kama yupo ajitokeze haraka.
Ngoja nikupe namba za Hadija Kopa
 
Back
Top Bottom