Natafuta mwanamke mwenye virusi vya UKIMWI

Nahisi kizunguzungu kwa kweli. Sielewi kipi ni kipi.
 
humu wapo tena wengine nawajua.. hebu ngoja nikawakurupushe najua hawajaolewa.... waache ujinga!
 
Mkuu afadhari umejitokeza. Mimi ninamjua dada mmoja ni rafiki wa kuheshimiana . Ameathirika mwaka jana , anatafuta nae mwanaume ambae n mwathirika
Anafanya kazi hospital fulani hapo Dar. Kama uko serious nipm kwa 0752218627
safi mkuu... si unaona matunda hayo!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…